Ni kweli. Baada ya fungate kuisha watakutafuta tu. Tusipoteze marafiki wa kweli kisa kuoa au kuolewa.Ni kwa muda tu baadae watajurudi...
So umepanania ututeke ndoani..?Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa update mke mwema
Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Ndege wafananao huruka pamojaKuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Kwa mwanaume wa kweli lazima urudi kwa marafiki zako maana marafiki au watu wako wakaribu wanaumuhimu pia...Ni kweli. Baada ya fungate kuisha watakutafuta tu. Tusipoteze marafiki wa kweli kisa kuoa au kuolewa.
Aah mkuu wahuni?!😟Mtu akishaoa ni kwamba kashavuka step moja mbele yako maana anakuwa busy na ndoa pia anakuwa amempata rafiki mwingine anaye lala naye kitanda kimoja na shuka moja. Baki na wahuni wenzako mkuu hadi na wewe utakapofanya maamuzi magumu kama yeye.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wahuni siyo watu wazuri hamkawii kupita na shemeji yenu.Aah mkuu wahuni?!
1. Mtu akishaoa ni kwamba kashavuka step moja mbele yako.
2. Baki na wahuni wenzako mkuu hadi na wewe utakapofanya maamuzi magumu kama yeye.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ngoja tukupe muda.Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa update mke mwema
Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Lazima watarudi tu mkuu Kila kitu kina nafasi yake ndoa inanafasi yake na urafiki pia unanafasi yake...wakirudi na mimi naoa😅
Hamuwezi kumtatulia changamoto za kwenye ndoa kwasababu hamjui tamu ya ndoa na chungu ya ndoa.Halo we mtumiaji wa Infinix hizo point mbili hapo NABISHAAA
1. Kuoa sio kuvuka step
Unaweza kuoa halafu ukawa ndezi balaaa kuliko ulivyo single.
2. Uhuni hauna uhusiano wowote na ndoa na usingle.
Kuna raia Wana miaka kibaoo kwenye ndoa ila wahuni balaaa
#YNWA
Uzuri ni kwamba ndoa yangu sio ya kutenganishwa na kifoNgoja tukupe muda.
VINA MUDA BASI HIVI VITU...
#YNWA