Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,377
Huyu jamaa yangu ni mtu wa totoz sana na gambe kimtindo.
Akishakunywa tu atafanya kila namna kuhakikisha anapata demu na kwenda kulala nae
Sasa katika harakati zake za kula mbususu kakutana na pisi kali akaenda nayo dry baada ya siku 2 mwamba kaanza kuhisi maumivu makali na baada ya masaa kadhaa kaanza kukojoa usaha.
Hapa kanifuata nimshauri cha kufanya. Nimemshauri aache kuparamia paramia mademu pisi kali maana hao siku hizi ndo macarrier wa gono na hawajijui
Nimemshauri atulie na mke wake aachane na malaya wa kwenye mabar
Nimemshauri akachome sindano fasta.
Tuwe makini na hizi pisi kali wengi wagonjwa na hawajijui.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Akishakunywa tu atafanya kila namna kuhakikisha anapata demu na kwenda kulala nae
Sasa katika harakati zake za kula mbususu kakutana na pisi kali akaenda nayo dry baada ya siku 2 mwamba kaanza kuhisi maumivu makali na baada ya masaa kadhaa kaanza kukojoa usaha.
Hapa kanifuata nimshauri cha kufanya. Nimemshauri aache kuparamia paramia mademu pisi kali maana hao siku hizi ndo macarrier wa gono na hawajijui
Nimemshauri atulie na mke wake aachane na malaya wa kwenye mabar
Nimemshauri akachome sindano fasta.
Tuwe makini na hizi pisi kali wengi wagonjwa na hawajijui.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app