Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Mbunge wa Igunga achunguzwe na kufukuzwa bungeni kutokana na kuanzisha makampuni ambayo wamiliki wake hawajulikani au wamekufa na utata mzima wa kampuni za Dowans, Richmond etc. Credibility yake inalivunjia bunge heshima.
Ili kulinda heshima ya bunge letu msikubali kuburuzwa na mtu ambaye siyo muwazi ambaye amewekwa kama pandikizi la kuneemesha raia wa kigeni. Mbunge huyu vile vile alikiuka subpoena za sakata la Richmond. Nanyinyi wabunge kweli mnamuogopa huyu mwarabu? Kwa nini hamuweki hoja binafsi? Watendeeni haki wananchi waliowapa dhamana ya kutetea utajiri na rasilimali za nchi hii, kumbukeni mlipokula kiapo mlisema mtalitetea hili taifa.
Ili kulinda heshima ya bunge letu msikubali kuburuzwa na mtu ambaye siyo muwazi ambaye amewekwa kama pandikizi la kuneemesha raia wa kigeni. Mbunge huyu vile vile alikiuka subpoena za sakata la Richmond. Nanyinyi wabunge kweli mnamuogopa huyu mwarabu? Kwa nini hamuweki hoja binafsi? Watendeeni haki wananchi waliowapa dhamana ya kutetea utajiri na rasilimali za nchi hii, kumbukeni mlipokula kiapo mlisema mtalitetea hili taifa.