Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Yule mwana CCM mkongwe kutoka mkoani Iringa na aliyewahi shika nyadhifa za kutosha nadani ya CCM amefariki dunia Juzi Ijumaaa Hospitali ya Taifa Muhimbili na anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao Ihimbo, Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa.
Katila historia yake ya kazi ameshawahi kupigwa kibao na mlinzi wa Rais Mwinyi palealipojaribun kufungua mlango wa gari wa rais ikiwa kama kumkaribisha Uwanja wa CCM wa Samola Iringa.
RIP Mr Mbigiri.
Katila historia yake ya kazi ameshawahi kupigwa kibao na mlinzi wa Rais Mwinyi palealipojaribun kufungua mlango wa gari wa rais ikiwa kama kumkaribisha Uwanja wa CCM wa Samola Iringa.
RIP Mr Mbigiri.