Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Jana(tarehe 24/08/2012 ilikuwa siku ya mazishi ya marehemu Fr.Francis Mketa wa shirika la Roho Mtakatifu(Holy Ghost Fathers) -Usa River.
Padre huyu alifanya kazi maeneo mengi jimboni Arusha(Kikatiti, Ngaramtoni, Burka,St.Theresa, Usa River etc) na Moshi(St.James Seminary-Kilema, ambapo ndipo alipozaliwa na kusoma pia, pamoja na parokia nyingi kabla ya kuamua kujiunga na shirika la roho mtakatifu).
Mungu alimjalia kuishi miaka 98 duniani(alizaliwa mwaka 1914),moja ya kauli zake za uzeeni alipenda kusema"MIMI NI PANYA WA YESU"
Apumzike kwa amani.
Padre huyu alifanya kazi maeneo mengi jimboni Arusha(Kikatiti, Ngaramtoni, Burka,St.Theresa, Usa River etc) na Moshi(St.James Seminary-Kilema, ambapo ndipo alipozaliwa na kusoma pia, pamoja na parokia nyingi kabla ya kuamua kujiunga na shirika la roho mtakatifu).
Mungu alimjalia kuishi miaka 98 duniani(alizaliwa mwaka 1914),moja ya kauli zake za uzeeni alipenda kusema"MIMI NI PANYA WA YESU"
Apumzike kwa amani.