Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,423
- 24,433
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu au twende kilioni, heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
UPDATE
Personally nimejifunza mengi kutokana na uzi huu.
Nawapongeza wachangiaji hata wale walionipinga kwa sababu za kimsingi kabisa.
However, kuna suala linajitokeza, DRESS CODE ya Public officials nchini ikoje?
Mwenye hiyo DRESS CODE atubandikie tafadhali.