MafiaIsland2015
Member
- Sep 21, 2011
- 20
- 8
Mliokwenda tunaomba mtuletee ripoti
Mliokwenda tunaomba mtuletee ripoti
Mara ya mwisho nimepita pale ilikuwa mwaka jana mwezi wa 9 na to be honest I wasnt impressed at all...inaonekana mdosi kakopa pesa kwa ndugu na sio benki kufanya ile shughuli partition zilikuwa so cheap utafkiri uwanja wa 77 kwenye trade fair
na niliona kule juu kuna cinema hivi kuna mtu kashaenda?
all in all naona kwa kuwa target yake ni watu wa Temeke na beyond atakuwa anategemea zaidi Volume kuliko quality
any thoughts?
Mliokwenda tunaomba mtuletee ripoti
Mara ya mwisho nimepita pale ilikuwa mwaka jana mwezi wa 9 na to be honest I wasnt impressed at all...inaonekana mdosi kakopa pesa kwa ndugu na sio benki kufanya ile shughuli partition zilikuwa so cheap utafkiri uwanja wa 77 kwenye trade fair
na niliona kule juu kuna cinema hivi kuna mtu kashaenda?
all in all naona kwa kuwa target yake ni watu wa Temeke na beyond atakuwa anategemea zaidi Volume kuliko quality
any thoughts?
Mliokwenda tunaomba mtuletee ripoti
Mara ya mwisho nimepita pale ilikuwa mwaka jana mwezi wa 9 na to be honest I wasnt impressed at all...inaonekana mdosi kakopa pesa kwa ndugu na sio benki kufanya ile shughuli partition zilikuwa so cheap utafkiri uwanja wa 77 kwenye trade fair
na niliona kule juu kuna cinema hivi kuna mtu kashaenda?
all in all naona kwa kuwa target yake ni watu wa Temeke na beyond atakuwa anategemea zaidi Volume kuliko quality
any thoughts?