🤣🤣🤣🤣 Kweny u dokta na u ruban hapo tilia mkazowakishakupiga semina zao zile mbili lazima wakulazimishe maana wanajua umefahamu 75% ya mambo yao ila ki ukweli ni waongo wana maisha ya kimovie tu ukiaa nao utaona wanaanza kujipisha story ooh kuna dokta ameacha kaona aimlipi kaja qnet amelalamika saana kwamba amechelewa mara kuna rubani kaacha kazi juzi tunae humu ndani yaan usanii mtupu
Sio good morning..shida hata English hamjui..ni good more earning bilionea.Nimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
Hata Mimi nimekoswakoswa kupigwa na kitu chenye incha Kali na hawa jamaa wa Q net.Saa inauzwa Mil 5..?
Na hiyo Qnet inahusika na nini hasa??
Bado wapo hawa jamaa mkuu.Aliyewatetea msitapeliwe na Q net yupo jela anapambania maisha yake hii nchi tunaishi kwa visasi sana.
Nikisikiaga habari za Q-Net nacheka kama mwehu. Ila asavali walinikosakosaNimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
Sababu wanachuo wengi wako katika stage ya utafutaji ajira na vipato vya kujikimu so ni rahisi zaidi kuwarubuni kwa njia hiyo!bora uwe mtumwa ila mle unakua kichaa alafu kwanini vingi ni vyanafunzi tena vya chuo ??