Kuna ngoma 1 inaitwa 'ASEME', ilikuwa hatari, kuna nyingine anamtafuta RAIS nayo nomaOngeza yupo na jaydee sitaki kumbuka zamani(sitaki ota) hapo ilikuwa khatari sana mpiga debe akiwa na mzimuni family wacha kabisa ndugu umenikumbusha kitambo kidogo hiyo.
Alianza vizuri sana haya mambo ya mchele (poda )yana gharama zake pia tukumbuke fursa na kipindi anawika mambo hayakuwa kama sasa hivi sijui twitter au instagram kilikuwa kipindi kigumu kiasi kuweza kuyahimilihayo ukija changanya na ngada tena basi inakuwa kazi.Kuna ngoma 1 inaitwa 'ASEME', ilikuwa hatari, kuna nyingine anamtafuta RAIS nayo noma
Kauli hii wahenga walimaliza kila kitu kuna vipaji kama ni ķupishana basi vimepishana na gari la mshahara ni ukweli mchungu.Kila kitu na zama zake, za q chillah zimepita
Amani kwa kaka Voda millionea waambie wadogo zako waache ushoga na umbeaAisee hiyo Pini Q-Chief aliua mbaya,Walaaniwe wazungu wa Unga,[HASHTAG]#Amani[/HASHTAG] kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea.