Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...wadau,
imekaaje hili la mzazi/wazazi kumchagulia/kumpangia mtoto masomo ya kusoma ili huko mbeleni aje kufanya kazi/taaluma iliyokusudiwa na wazazi?
Nini experience yako katika hili, manufaa/hasara zake?
Nini mtizamo wako kwenye ulezi/malezi hayo?
imekaaje hili la mzazi/wazazi kumchagulia/kumpangia mtoto masomo ya kusoma ili huko mbeleni aje kufanya kazi/taaluma iliyokusudiwa na wazazi?
Nini experience yako katika hili, manufaa/hasara zake?
Nini mtizamo wako kwenye ulezi/malezi hayo?