fazai
Member
- Dec 15, 2016
- 74
- 19
Inategemea kwa matumizi...kama unataka uje kupika tu hayaharibiki.Naomba kuuliza, hivi mayai ukiyaweka kwenye friji yanharibika?
Ila kama unataka uje kutotolea vifaranga hayatofaa tena
Inategemea kwa matumizi...kama unataka uje kupika tu hayaharibiki.Naomba kuuliza, hivi mayai ukiyaweka kwenye friji yanharibika?
Kwa kuuza dukani ili yakikaa sana yasiharibikeInategemea kwa matumizi...kama unataka uje kupika tu hayaharibiki.
Ila kama unataka uje kutotolea vifaranga hayatofaa tena
Unapatikana wapi?Ninauza mayai ya kienyeji kwa bei ya 10,000/= kwa trey. Kwa mawasiliano zaidi namba ni 0769345032 na 0654250816
mmmh mayai ya kienyeji elf 10 bado unataka punguzo, hauwezi kuwa serious.
Kishasema, somaShaban itapendeza ukifunguka.maana ukiweka nusu nusu hivo utapata maswali mengi sana.
Sema unapatikana wapi
Wateja watapateje huduma
Unauwezo wa kutoa huduma kwa kiwango kipi nk.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
kama unahitaji mayai ya kuku chotala, elfu 9,000 trey., ukiitaji mengi discount ipo.
Sawa ahsante kwa ushauri sema napatikana Tegeta-Madale.Ukitaka trey kwanzia tano nakuleteaShaban itapendeza ukifunguka.maana ukiweka nusu nusu hivo utapata maswali mengi sana.
Sema unapatikana wapi
Wateja watapateje huduma
Unauwezo wa kutoa huduma kwa kiwango kipi nk.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Apo ndio tumepunguza jamani
apo imeshapunguzwa
Tray 10,000/= ndugu yanguMmh trai buku 7000 nikuje
Ndio labda uniambie unahitaji ngapimkoani unasafirisha
Kama utakua umenunua kwa ajili ya kutotolesha yatakua hayafai ila kama ni kwa matumizi ya kula haina shidaNaomba kuuliza, hivi mayai ukiyaweka kwenye friji yanharibika?