spetinaty
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 229
- 125
Kmbe kuteka watu n maendeleo? Kuwafanya watu wawe na wasiwasi na maisha yao ndo kuendelea? Aisee n ngumu kumesa hii, how development to be brought if people are not sure of their tomorrow? Any wayView attachment 494710 [HASHTAG]#NUKUU[/HASHTAG]:"Wanasiasa tuiache serikali ya CCM ifanye kazi yake, mambo mengine tukutane mwaka 2020,Tutangulize Tanzania kwanza, siasa baadaye, watanzania wanataka maendeleo, hakuna Mtanzania anayekula siasa”Rais Magufuli.