Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Ulisema hivi......

"Nawasalimia wana JF.
Poleni na kazi. Kuna watu wamekuwa wanalalamika kuhusu mada inazozileta wakawa wanasema kwanini tusichangie mambo ya maana ili kukuza Africa Mashariki.

Basi leo nimeona nilete hii mada ya kuhusu Kilimo, Uvuvi na ufugaji Tanzania ili wenzetu wenye shida waweze kujua mazao yapo wapi waweze kupata.
Nitakuwa naweka picha na maeneo husika ndani ya Tanzania.

Ndugu zetu kutoka kenya wanalima maua lakini hawalimi mazao ya chakula tunaweza kuwasaidia waweze kupata japo mlo. Unajua hawa ni ndugu zetu kabisa, kinachotakiwa tu waweze kukusanya pesa zao waje tufanye biashara nao.
"

Hilo lilikuwa kweli na sawa?
Na pia kuna mahali pia ulisema sisi ni wavivu kiaina.


Anyway.....kwa heri, na uendelee na haya mambo yako JF utakavyo. Naapa sitokubugudhi tena.
Kumbe unauma sio.
Nyie mnapotukana na kuwatusi watanzania kwenu ni fraha sio. Kama mmeelewa hilo basi muache kuleta madharau kwetu. Kama mnaweza ligi muendelee kuwatusi watanzania. Sita kaa kimya na kuwacha mnaonesha watu kwa taarifa zenu za kupika.

Jiheshi na sisi tutawaheshimu.
 
Tanzania kweli, hii yetu ni ya vijijini, sio Nairobi tu, hapa ni Timboroa, nimeweka moja tu! ikitaka zingine niulize
12224696_1661831207424407_1614455303_n.jpg
 
i think you are right this annael. we are afew kenyans here and its like we make these puppets. why dont we liaise and agree on the guy to give a wide berth. that thread wont make a page if its abt kenya.

kwa mfano ameanzisha uzi wa ligi kuhusu utalii. huko siendi naomba you give it a wide berth na we sensitize wenzetu. if its comments lets give our comrades
support kwa uzi zoa au any tzian hana utoto wa ligi.au vipi!!
I am here,Sensitize one another....
 
This is where I live Wanjala.The beautiful Ainabkoi on the way to the city of Eldoret.
Recently i used the road to Kitale and i could not believe how beautiful this place is!!! OMG, the whole stretch to Kitale is wonderfully done. From Nairobi to the Westmost part of the country it was the sweetest ride ever!! And by the Way, Webuye to Kitale Road is being dueled! and the roads in the small town called Kimilili are wide and well paved! This places are turning out nicely! And this road at night is still amazing!!! Love this place!!
 
Hiyo ni kama ya kwenda Sigor! pande za Pokot! Places you guys were thinking are marginalized.
CxifdRtXEAAZbm0


This below here is ITEN
8a1f90b3b2a0fbbd2e32923c4b350b99.jpg


Elgeyo Markwet
CLEr6jTW8AAONRW.jpg


Bv3kaVMCAAEHP7O.jpg


When we talk of Kisumu now!! You start closing your eyes
yfqKAsC.jpg
Meanwhile in Tanzania
1479844559444.jpg
1479844566062.jpg

1479844697285.jpg

Thats a bridge in river Malagarasi Kigoma,

1479844663575.jpg
1479844670976.jpg
1479844687777.jpg

Mkapa bridge, river Ruvu..
Mambo hayo..

Barabara sasa...
1479844739455.jpg

To mbeya (the green city)
1479844768850.jpg
1479844783665.jpg

To Iringa, (my hometown), the best place ever..
1479844910918.jpg
1479844933441.jpg
1479844961935.jpg
1479845000565.jpg
1479845107011.jpg


Nyinginezo...
In fact Tz is good, uende Singida, Mwanza, Tabora, Kigoma, Mbeya, Arusha, Mtwara, Songea, Kotekote kumejenwa mabarabara ya pavement,
1479845151879.jpg
1479845157865.jpg
1479845167015.jpg



Do u want more??
Nina uwezo wa kujaza servers za jf,
 

Attachments

  • 1479844581781.jpg
    1479844581781.jpg
    67.3 KB · Views: 59
Majirani wanahisi hatuna barabara nzuri...watakua washaziona....mna kingine?
Barabara zipo kila mahali sahivi yaani kutoka arusha hadi sumbawanga zaidi ya km 1400 sijakanyaga vumbi....
Ndio maendeleo
 
Majirani wanahisi hatuna barabara nzuri...watakua washaziona....mna kingine?
Barabara zipo kila mahali sahivi yaani kutoka arusha hadi sumbawanga zaidi ya km 1400 sijakanyaga vumbi....
Ndio maendeleo

Ni vizuri pia kutuonyesha mahali ambapo wadanganyika wengi wanapapitia
2293540.jpg

1024px-Transportation_in_Tanzania_Traffic_problems.JPG

kenya-romance-car-stuck-in-mudd-ariane-marder_big.jpg

sunnymoney-tanzania-2.jpg
 
Ungeweka na location kabisa ili nifahamu ni wapi uko....usikute ni picha ya mwaka 2001

Hahaa...Tuusan.Acha hizo bana....Kila mara when the real Tz is shown,It's 5yrs ago...It's 2000....Again I state.NOT VERY NICE TO THROW STONES FROM A GLASS HOUSE....Let's just get to work man...our countries need us to make things better.
 
Hahaa...Tuusan.Acha hizo bana....Kila mara when the real Tz is shown,It's 5yrs ago...It's 2000....Again I state.NOT VERY NICE TO THROW STONES FROM A GLASS HOUSE....Let's just get to work man...our countries need us to make things better.
I know,I knew...we have to work to change things...it's what a never stop doing
 
Kumbe unauma sio.
Nyie mnapotukana na kuwatusi watanzania kwenu ni fraha sio. Kama mmeelewa hilo basi muache kuleta madharau kwetu. Kama mnaweza ligi muendelee kuwatusi watanzania. Sita kaa kimya na kuwacha mnaonesha watu kwa taarifa zenu za kupika.

Jiheshi na sisi tutawaheshimu.
La, haiumi. Utani kidogo kidogo hapa na pale ni sawa tu kabisa. Lakini pia isiwe ni mazoea.
Jambo ambalo nilikua nakuelezea ni kwamba those Kenyans who wish to contribute in your threads would not take u seriously after reading some of the comments you post.
Is it worth it posting a picture or news about a verdant maize farm in Uasin or a development project in some place in Kenya, only for u and some of your collegues to disparage and deflate the whole thing? Sisi sio wachokozi, we are only returning back your fire.

Sisi hatuonyeshi madharau. Have u ever seen Kenyans in the Tanzanian part of the board creating threads or posting comments mocking the Tanzanians there? Instead it is the habit of u pipo coming to the Kenyan side creating threads intended to defame Kenya. Or if its a thread about something postive about the country, u Tanzanians take to impugning the whole thing, deriding the country and reminding us of our handicapps, such as Kibera, Turkana, hunger, poverty etc.
Your pipo even shameleslly mock at Kenyans when they are mourning after a tragic event such as terror attack.
That thread on Mpeketoni attack was erased, I do not know why, but that is when I first encountered Jamiiforums and the Tanzanian callousness.
 
La, haiumi. Utani kidogo kidogo hapa na pale ni sawa tu kabisa. Lakini pia isiwe ni mazoea.
Jambo ambalo nilikua nakuelezea ni kwamba those Kenyans who wish to contribute in your threads would not take u seriously after reading some of the comments you post.
Is it worth it posting a picture or news about a verdant maize farm in Uasin or a development project in some place in Kenya, only for u and some of your collegues to disparage and deflate the whole thing? Sisi sio wachokozi, we are only returning back your fire.

Sisi hatuonyeshi madharau. Have u ever seen Kenyans in the Tanzanian part of the board creating threads or posting comments mocking the Tanzanians there? Instead it is the habit of u pipo coming to the Kenyan side creating threads intended to defame Kenya. Or if its a thread about something postive about the country, u Tanzanians take to impugning the whole thing, deriding the country and reminding us of our handicapps, such as Kibera, Turkana, hunger, poverty etc.
Your pipo even shameleslly mock at Kenyans when they are mourning after a tragic event such as terror attack.
That thread on Mpeketoni attack was erased, I do not know why, but that is when I first encountered Jamiiforums and the Tanzanian callousness.
That's deep
 
Tanzania kweli, hii yetu ni ya vijijini, sio Nairobi tu, hapa ni Timboroa, nimeweka moja tu! ikitaka zingine niulize
12224696_1661831207424407_1614455303_n.jpg
Wabongo, bado sijaona quality ya hii, hizo mnaweka pale ni barabara za kawaida kabisa. Nataka kwality hii. With standard international configuration.

kama hizi ni nyingi Kenya, halafu ni aibu gani hii Rais anaita daraja kwa jina lake???? Mbona sielewi??
IMG_0663.jpg


a3436c8c989067faa35fd5158f3e9f45.png


highway2.jpg


2.Kisumu-Kakamega-A1-Road-in-Kenya-East-Africa.jpg


Kisumu-Nairobi-Kisumu_1024_0621.jpg


Fftqjqe.jpg


2gcM0Vh.jpg


q0yW3eK.jpg


Sijaweka za Nairobi wala Mombasa
roads.jpg


DSCN2194_small.jpg


c6237a157eedd72f8ec265f218834af2.jpg


Hizo ni mchanganyiko wa Meru, Isiolo, Kisumu, na Kericho
 
Back
Top Bottom