Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Mnyika atakuwa hewani leo.......
Je umeacha kutumika siku hizi? Kwani wakati ule ukiwa DARUSO ulitumika sana! Nafikiri PhD yako ya socio-psychology itakuwa inakusaidia kidogo kupambanua mambo!Mimi nipo na sijakwazika kwa kiwango cha kukimbia. Kidogo kuna kubanwa na kukosa muda wa kupita hapa. Nitajihidi sana nichangie, ukizingatia huu ni mwaka wa vituko, mbwembwe na madoido mengi!
Cheers!
Inaonekana unapita ila kuchangia ndio hakuna, kama usingekuwa unapita usingeiona hii thread!Mimi nipo na sijakwazika kwa kiwango cha kukimbia. Kidogo kuna kubanwa na kukosa muda wa kupita hapa. Nitajihidi sana nichangie, ukizingatia huu ni mwaka wa vituko, mbwembwe na madoido mengi!
Cheers!
Je umeacha kutumika siku hizi? Kwani wakati ule ukiwa DARUSO ulitumika sana! Nafikiri PhD yako ya socio-psychology itakuwa inakusaidia kidogo kupambanua mambo!
Je umeacha kutumika siku hizi? Kwani wakati ule ukiwa DARUSO ulitumika sana! Nafikiri PhD yako ya socio-psychology itakuwa inakusaidia kidogo kupambanua mambo!
Wewe je umeacha kutumika? Unapokua hapa JF huwa unatumika sana.......
Nilifikiri ni mimi tu niliyekuwa nalijua hili!Nina hakika hata hao wenzake akina Zitto na Mnyika hawalijui. Huyu jamaa kaenda kujichanganaya kusiko kabisa, kule alikokwenda na yeye mwenyewe alivyo ni tofauti kabisa,... anyway time will tell!Wewe je umeacha kutumika? Unapokua hapa JF huwa unatumika sana.......
Je umeacha kutumika siku hizi? Kwani wakati ule ukiwa DARUSO ulitumika sana! Nafikiri PhD yako ya socio-psychology itakuwa inakusaidia kidogo kupambanua mambo!