Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Una mtisha?Mbona kama unaleta uchochez... Umesema eti UKIONA MTU ANAONGEA KWA VITISHO ujue ana nini??
Jua shehe ponda kapewa siku tatu sasa sijui wewe utapewa siku ngapi...
Lemutuz na wenzie kina Jerry Mlo ni Zigo la misumariHatimae Mkuu Pascal Mayalla unarudi. Bado Jery Muro na Juma Mkamia.
Le Mutuz tushukuru Mungu maana yule aliruka sehemu fulani ya makuzi
hahahaaaWanyama pendwa wa kule serengeti wamefuraaahi kwelkwel, kesho wakigeuziwa kibao sio povu hilo watakalotoa......utasikia pascal acha njaa, pascal anataka udc, lumumba buku 7 nk
Huyu mwanetu...kwetu hapa, kwao hapa.Mbona kama unaleta uchochez... Umesema eti UKIONA MTU ANAONGEA KWA VITISHO ujue ana nini??
Jua shehe ponda kapewa siku tatu sasa sijui wewe utapewa siku ngapi...
Hatimae Mkuu Pascal Mayalla unarudi. Bado Jery Muro na Juma Mkamia.
Le Mutuz tushukuru Mungu maana yule aliruka sehemu fulani ya makuzi
"Wasiojulikana"...Inanikumbusha enzi za "ton ton macout" ya Papa Doc...... Baby Doc..... Kwa kweli walitenda yasiyojulikana .....Kwa bandiko hili tarajia wasiojulikana kukupeleka kusikojulikana na kukutenda kisichojulikana.
Hizi ni hadithi na imani za uswahilini, hazina reality katika ulimwengu wa watu wanaojitambua!!Kweli tupu,ukiona mtu anapenda kumpiga mkewe ujue hana ubavu wa kupigana na wanaume wenzake
Pascal huwa kuna vitu kadhaa vyenye maana najifunza kwenye maandiko yako, lakini katika hili inaonesha umevamia taaluma usiyoielewa na huna uwezo wa kuleta evidence za ku support au ku prove ukweli. Achana na mambo ya kuungaunga, eti utaendelea. Una haraka gani kuleta vitu vya kuokota? Give the proof, man!Wanabodi,
Leo naomba niwaendeshee semina fupi ya somo linaloitwa psychoanalysis. Hili ni somo la kuisoma mienendo ya binadamu ikihusisha tafsiri za kisaikolojia za maneno na matendo yanavyohusianishwa na tabia zilizojificha kwenye subconscious mind na kubainisha vitu vinavyoitwa "deep rooted neurosis".
Mfano mtu anaye practice overconfidence, ana tatizo la lack of confidence. Mtu anaye practice superiority complex, ana tatizo la inferiority complex bila kujijua. Na ukiona mtu anaongea sana kwa ukali na vitisho ujue hana lolote katika utekelezaji, ni talker tuu na sio mtekelezaji. Ni maneno marefu lakini vitendo vifupi, lakini the doers wanaonyesha vitendo
Ndio tunayoyaona leo kwani mtu anaetenda au kutekeleza utaona mwenyewe wala hatumii nguvu nyingi kujitangaza. Ila asietenda anafanya mambo kwa kuwatisha watu ili wajue anafanya kazi. Kumbe anayo maovu mengi anayoyaficha. Ndio leo tunae huyo mungu mtu. Ukifanya mazuri hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi au polisi kuwalazimisha watu kujua. Wahenga walisema kizuri chajiuza na kibaya kinaji.......Wanabodi,
Leo naomba niwaendeshee semina fupi ya somo linaloitwa psychoanalysis. Hili ni somo la kuisoma mienendo ya binadamu ikihusisha tafsiri za kisaikolojia za maneno na matendo yanavyohusianishwa na tabia zilizojificha kwenye subconscious mind na kubainisha vitu vinavyoitwa "deep rooted neurosis".
Mfano mtu anaye practice overconfidence, ana tatizo la lack of confidence. Mtu anaye practice superiority complex, ana tatizo la inferiority complex bila kujijua. Na ukiona mtu anaongea sana kwa ukali na vitisho ujue hana lolote katika utekelezaji, ni talker tuu na sio mtekelezaji. Ni maneno marefu lakini vitendo vifupi, lakini the doers wanaonyesha vitendo
Ndugu Pascal Mayalla .
Wewe ni mwana habari , andiko hili umelicopy pate mahala so usisahau ku Acknowledge mtu aliyeliamdaa .
Nakumbuka nilisoma hii mwaka jana somewhere
Wanabodi,
Leo naomba niwaendeshee semina fupi ya somo linaloitwa psychoanalysis. Hili ni somo la kuisoma mienendo ya binadamu ikihusisha tafsiri za kisaikolojia za maneno na matendo yanavyohusianishwa na tabia zilizojificha kwenye subconscious mind na kubainisha vitu vinavyoitwa "deep rooted neurosis".
Mfano mtu anaye practice overconfidence, ana tatizo la lack of confidence. Mtu anaye practice superiority complex, ana tatizo la inferiority complex bila kujijua. Na ukiona mtu anaongea sana kwa ukali na vitisho ujue hana lolote katika utekelezaji, ni talker tuu na sio mtekelezaji. Ni maneno marefu lakini vitendo vifupi, lakini the doers wanaonyesha vitendo
kuna maombwe mengi tu kufanya bandiko hili lisipokewe kwa mikono miwili.Pascal huwa kuna vitu kadhaa vyenye maana najifunza kwenye maandiko yako, lakini katika hili inaonesha umevamia taaluma usiyoielewa na huna uwezo wa kuleta evidence za ku support au ku prove ukweli. Achana na mambo ya kuungaunga, eti utaendelea. Una haraka gani kuleta vitu vya kuokota? Give the proof, man!