OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,306
- 104,197
Simply by listing names??msifanye shirika kama msikiti
Kuna dini inapewa hadi ruzuku (mou), na nyingine haipewi. Kwa hali hiyo kweli wataacha kuwa wengi mashuleni na maofsn?
Usisahau benki zao pia zinatumika kutakatisha fedha haram.
shida sio nafasi hizo za juu, udini upo nafasi za chini waislaam wanapewa kipaombele sana utakuta department nzima wapo waislaam tu.
Simply by listing names??msifanye shirika kama msikiti
Na wezi wa escrow dini gani?
kabisa kabisa
na hilo tumeliona hapa majuz,
we si umeona ile list ya watu waliovuna mabillion ya ile pesa ya escrow??
woote ni wao tuh,
tena hadi maaaskofu wao sasa wameingia uwanjani,,
mimi nakuambia umaskin wa taifa hili kanisa katoliki lina husika kwa kias kikubwa kabisa
wamelifilisi taifa hili
Mleta mada kaweka ushahidi kamili, wewe leta ushahidi wako kama u mkweli.
Mkuu ni vyema ungeweka ushahidi wa data ni kuliko kuja na maneno watupu, tuambie hizo departments zipi tuziweke hapa ukumbini.shida sio nafasi hizo za juu, udini upo nafasi za chini waislaam wanapewa kipaombele sana utakuta department nzima wapo waislaam tu.
Hivi watangazaji wa tv hasa hizi kubwa(itv,star tv,chanel 10 na tbc) hazinaga watangazaji wakike waislam? Sijawah ona mwanamke kajistr anasoma taarifa ya habari, au vigezo na mashart haviruhusu?
Mimi nataka mtu aliyecheleweshewa au kupunjwa mafao yake kisa anaitwa John Marcus au Anna Thomas?
Naomba kuona hata dispensary iliyofadhiliwa na NSSF maeneo ambayo kuna waislam wengi kama kilwa, Lindi, Mtwara?
Watu wengi wanajifanya wanajua sana udini lakini ukiwahoji umejuaje dini yake anatumia jina tu kama kigezo. Sio Ramadhani wote ni waislam wala John wote wakristu.
Tuwekee basi huo udini wa NSSF watu wajue.Huwezi kutetea hoja ya udini kwa kutumia list tu? Lazima uhoji wahanga wenyewe ndiyo wenye majibu. Kama kweli NSSF kuna udini ni heri muache mara moja, ile sera ya kipuuzi 50/50 ni ya kishenzi na haya ndiyo madhara yake.Tunataka dini isiwe kigezo bali wasifu wa kitaaluma.