Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,288
Mwanamme mashine atakimbiaje wakati wa mapambano?HAHAHAHA Lipumba anasema yeye sio wa mchezo mchezo...yeye ni mwanaume mashine...
Mwanamme mashine atakimbiaje wakati wa mapambano?HAHAHAHA Lipumba anasema yeye sio wa mchezo mchezo...yeye ni mwanaume mashine...
Siyo wa kimchezo mchezo yakhe anaisomaje?Mtemi Mirambo, lazima wamuelewe huyu mnyamwezi sio mtu wa mchezo mchezo!!
Alijiuzuru kweli lakini mazwazwa wakashindwa kuridhia mapema,na sasa inawagharimu.Hivi huyu Prof Lipumba si alijiuzulu uenyekiti?
Fatwa Bongo mkuu,nani msafi?Lipumba anatafuta fatwa kwa udi na uvumba.
Yeeeebah,hataki mchezo tena.Naona sasa Prof. Lipumba kaamua kusafisha chama. Katika mkutano wake leo na waandishi wa habari kaahidi kufukuza wabunge wengine 6 wa majimbo mbalimbali kutoka Tanzania Bara.
Pia kalipongeza bunge na Tume ya uchaguzi kwa kuchukua hatua haraka kwamba taasisi hizo zinaendana na kasi inayotakiwa kwa sasa...
Lipumba kawaonya wabunge wengine na viongozi wanaofikiri yeye ni wa mchezo. Anasema muda huu ni wa kujenga chama hivyo hatataka upuuzi wowote mbele yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeeeebah,hataki mchezo tena.Naona sasa Prof. Lipumba kaamua kusafisha chama. Katika mkutano wake leo na waandishi wa habari kaahidi kufukuza wabunge wengine 6 wa majimbo mbalimbali kutoka Tanzania Bara.
Pia kalipongeza bunge na Tume ya uchaguzi kwa kuchukua hatua haraka kwamba taasisi hizo zinaendana na kasi inayotakiwa kwa sasa...
Lipumba kawaonya wabunge wengine na viongozi wanaofikiri yeye ni wa mchezo. Anasema muda huu ni wa kujenga chama hivyo hatataka upuuzi wowote mbele yake
Sent using Jamii Forums mobile app