Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu.

Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga.

Hata hivyo hajabainisha jimbo atakalogombea, ingawa ameeleza itakuwa mahala ambapo ataongeza mtaji na nguvu ya CCM.

IMG_1149.JPG
 
Nchi hii ni ya wote, ukiwa mtu sahihi na mahali sahihi, ni kugusa tu kuielekea ndoto yako!

Maana kuna watu ktk kazi zao, huwa nawambia, unaweza ukawa ni mtu sahihi katika kazi zako, lakini Kwa vile kazi yako si sahihi, huwezi kupata matunda ya kazi yako, lakini vikevile, kazi yako inaweza kuwa ni sahihi lakini wewe si sahihi katika kazi hiyo, hivyo pia huwezi kupata matokeo ya kazi hiyo

Kilichopo, ni lazima kufahamu kuwa, wewe ni mtu sahihi katika kazi sahihi, vitu Hivi viwili vikiwa sahihi Vyote, ni kuteleza tu kuelekea mafanikio

Mtu sahihi Chama sahihi na Kwa muda sahihi, Kwa nini usifike uendako?
 
Read between the lines, “kugombea mahali patakapo ongeza nguvu CCM” umeelewa nini hapo?
Nikutafunie kidogo, mpango wake Sio kupunguza nguvu ya CCM, Mwigulu chama gani?
Je kamaliza kazi aliyopewa na Mkulu? Je nchi nzima inapata maji masaa 24 bila mashaka? Je hakuna wanaokunywa maji machafu Tanzania nzima? Mheshimiwa raisi kashasema kama kakuteua na hujamaliza kazi zako basi tulia ulipo. Kwan mkuu Kitila Mkumbo unazani kazi uliyopewa ya kuhakikisha nchi inapata maji tiririka safi umeshaimaliza?
 
Huu ndiyo muda wa kutoana kafara🤗,kule Mkumbo vs Mwigulu
Professor kaandika maneno machache tu na bado viraza hamjanasa kitu, hana mpango huo wa kupunguza nguvu ya chama chake, naamini itakuwa CCM vs Opposition.
Je kamaliza kazi aliyopewa na Mkulu? Je nchi nzima inapata maji masaa 24 bila mashaka? Je hakuna wanaokunywa maji machafu Tanzania nzima? Mheshimiwa raisi kashasema kama kakuteua na hujamaliza kazi zako basi tulia ulipo. Kwan mkuu Kitila Mkumbo unazani kazi uliyopewa ya kuhakikisha nchi inapata maji tiririka safi umeshaimaliza?
Obviously hajamaliza, itatuchukua muda sana kuwa na mifumo yenye uhakika wa upatikanaji wa maji kutokana na hali za kijeografia, gharama za miundombinu na uwajibikaji. Isipokuwa kuna hatua wamesogea mbele tofauti na hapo awali.
Kuhusu kumaliza kazi aliyopewa na mkulu, nadhani hilo ni swali linalotakiwa kuwa directed kwa wahusika maana sikuwepo wakipeana job description.
 
Professor kaandika maneno machache tu na bado viraza hamjanasa kitu, hana mpango huo wa kupunguza nguvu ya chama chake, naamini itakuwa CCM vs Opposition.

Obviously hajamaliza, itatuchukua muda sana kuwa na mifumo yenye uhakika wa upatikanaji wa maji kutokana na hali za kijeografia, gharama za miundombinu na uwajibikaji. Isipokuwa kuna hatua wamesogea mbele tofauti na hapo awali.
Kuhusu kumaliza kazi aliyopewa na mkulu, nadhani hilo ni swali linalotakiwa kuwa directed kwa wahusika maana sikuwepo wakipeana job description.
Sasa kama hukwepo wakati wakipeana JD mbona unamjibia hayo mengine ya atagombea wapi, mkuu jaribu kuitunza heshima yako ndogo iliyobaki
 
Asisahau kwamba wameshaaambiwa na mamlaka ya uteuzi kuwa ,mteule yeyote atayegombea 2020 na akagonga mwanga asitarajie uteuzi tena ama kuendelea na nafasi yake.
 
Shigganza,
Nionavyo Mimi Prof Mkumbo yupo smart sana. Lakini asi attempt kugombea jimbo moja na DR MWIGULU NCHEMBA.

I wish geographical wise ya Iramba West kama inaruhhusu jimbo ligawanywe ili kuwatumia hawa Intellectuals at once hii ungekuwa BUSARA KUBWA.

Hongera Prof KITILA kwa hiyo nia.

👊👊👊
 
Sasa kama hukwepo wakati wakipeana JD mbona unamjibia hayo mengine ya atagombea wapi, mkuu jaribu kuitunza heshima yako ndogo iliyobaki
Hujielewi, sintoshangaa pia kwanini hiyo comment ya Mkumbo kutoielewa. Heshima yangu inakuhusu? Mind yours.
 
Back
Top Bottom