prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Mkuu wa kitivo cha sheria-UDSM profesa Palamagamba kabudi amewatahadharisha watanzania wasijadili baadhi ya mambo ya muungano katka mjadala wa kuandika katiba mpya maana wanaweza kuuvunja,alisema jana jijini Das es salaam katika maadhimisho ya miaka 50 ya kitivo hicho.(source NIPASHE,J.410/OCT/11)
HUYU NAYE MAGAMBA AU YUPO SAHIHI
HUYU NAYE MAGAMBA AU YUPO SAHIHI