Ninayondoto
Member
- Aug 5, 2013
- 14
- 1
Mie naona katika hili Shivji hayuko objective,kwanza anaonyesha kuwa ana hofu ya serikali 3, lakini pia anajikanganya anaposema muungano usiangaliwe kwa kigezo cha idadi ya serikali papo hapo anasema alipoombwa kutoa ushauri kwenye Baraza la Wawakilishi alipendekeza muundo wa serikali 2.
Hoja yangu hapo ni kwamba kama muungano hautakiwi kujadiliwa kwa idadi ya serikali mbona na yeye aliuingia mtego huo huo ?
Hoja yangu hapo ni kwamba kama muungano hautakiwi kujadiliwa kwa idadi ya serikali mbona na yeye aliuingia mtego huo huo ?