Prof. Ndalichako: Kiama kinakuja wanaotumia vyeti feki makazini

endesha

JF-Expert Member
Dec 9, 2015
1,109
1,452
Akihitimisha leo bajeti yake ya wizara ya Elimu,sayansi,teknolojia na ufundi.Waziri huyo anayeonekana ana nia ya dhati kufufua sekta ya Elimu ambayo ilikua mahututi,amewaasa wale wote waliopo makazini kwamba,"kwa kulinda heshima zao wao wenyewe wajiweke pembeni kwani atahakikisha anawasaka popote pale".

Pia amegusia pia kwamba kuna hadi wabunge wenye vyeti feki ambapo amewatahadharisha nao kwamba hawatasalimika kwani wao ndio wanatakiwa kuwa mfano.
 
huyu ni jembe na hii speed anaiwez
Mkuu kama siasa haitaingizwa kwenye elimu mana ndio iliyotufikisha hapa,huyu mama anaweza akawa mwarobaini wa elimu yetu.Inaonekana si mwanasiasa, labda wamfundishe.Hii sekta ilikua yatima muda mrefu lakini dawa yake pengine inaweza ikawa imepatikana.Hebu tuweke akiba ya maneno.
 
Back
Top Bottom