FORMULA YA KUACHANA NA UMASKINI: Nchi zilizofanikiwa kutokomeza umaskini zimetumia formula ifuatayo:
Mafanikio Makubwa Kiuchumi = Maarifa (Sayansi) +Teknolojia+Ubunifu+Raslimali Fedha + Raslimali Watu. Elimu yenye uelewa mzuri, kilimo cha kisasa, afya bora, mishahara mizuri na pensheni nzuri, miundombinu mizuri ya uchukuzi na mawasiliano, masoko ya bidhaa zetu, nk. vinategemea formula hiyo.
Watanzania tuachane na umaskini kwa kutumia formula hiyo.
Mafanikio Makubwa Kiuchumi = Maarifa (Sayansi) +Teknolojia+Ubunifu+Raslimali Fedha + Raslimali Watu. Elimu yenye uelewa mzuri, kilimo cha kisasa, afya bora, mishahara mizuri na pensheni nzuri, miundombinu mizuri ya uchukuzi na mawasiliano, masoko ya bidhaa zetu, nk. vinategemea formula hiyo.
Watanzania tuachane na umaskini kwa kutumia formula hiyo.