Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 Apr 17, 2012 #1 Mulisema hajasoma na wala hajui lugha ya kidhungu,mbna anauliza swali kwa lugha safi kabisa ya malikia.
Mulisema hajasoma na wala hajui lugha ya kidhungu,mbna anauliza swali kwa lugha safi kabisa ya malikia.
Tony Almeda JF-Expert Member Sep 18, 2011 397 122 Apr 17, 2012 #2 Copy and paste, naona alimaliza wiki nzima akikariri hayo maneno ambayo alikusudia kuuliza.