KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kutokana na kawaida ya mazoea ya baadhi ya mawaziri kuwa na mazoea ya kuleta bajeti ye nye samari bila takwiku hakiki sasa limemtokea puani Waziri wa Maji Mhe,Prof Magembe!!Wabunge wametupilia mbali itikadi zao sasa wanamsurubu waziri wa maji!!!wamerudi upande wa wananchi na kuwatetea...Kuna nchi 48!Mashirika yasiyo ya kiserikali!!(NGO's)120...nazaidi zinasaidia miradi ya maji..lakini nchi haina maji!!Wanauliza je pesa zote zinaenda wapi??