Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Process za ku-nulify ujumbe wa kwanza kati ya mtu binafsi, taasisi na chama ni tofauti mkuu... hicho ulichokieleza kiko sahihi kwa mtu binafsi tu..Kwa mfano nikikupa ujumbe kwamba sitakuja kukutembelea kisha nikakupa ujumbe mwingine kwamba nimebatilisha uamuzi nitakuja kukutembelea,hapo utakuwa umeelewa nini?mbona ni rahisi sana kuelewa uamuzi wa prof