Prof. Lipumba Kataja wahanga wa vurugu za kisiasa ila kasahau wa CUF!

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Nimemsikiliza prof. kaongea kwa utulivu na busara kubwa angalau mwanzoni.Kajitahidi kutowaponda wapinzani wenzie wala kutoa maneno ya Jazba,ingawa katika kumalizia kashindwa tenganisha makundi yanayohitaji elimishwa ili majanga yasitokee.Kilichoniumiza ni kwamba hakutaja wahanga wa CUF katika matukio kama haya.Sijui ndio wameshawahaua na kuwaacha wapotee kwa kufa in vain? Vile vifo lazim avikumbukwe hata katik political arena kwani.Kama si waliowaua ndio wana makosa wabi marehemu wenyewe au hata viongozi wao au yote kwa pamoja.Vifo katik puplic au private si vyema kwa taifa hata kama hukumu ya mahamaka ni tofauti.

Kwa mtaji huu nadhani CUF haikuwa makini sana katika movements zao, na hivyo kufanya vifo vya wale jamaa kama kafara iliyomalizia mbio hapa chama kilipo.Hii itawafanya wazanzibar kuwa watu wa ajabu sana tofauti na wanavyoweza dhani.

Kingine nilichoshangaa ni BAN kwa polisi toka kwa waandishi wa habari kama ile ya CUF kuchapa waandishi.Sijui itakuweje katika TV.Ina maana polisi watakosa coverage kabisa?Itakuweje hiyo?
 
Vyama vinahitaji kuweka kumbukumbu na kuenzi watu waliopata majanga katika haya matukio ya kisiasa.Ila sijui ndio yaleyel ya vyama B
 
Vyama wala visisubiri watu wafe wao waweke kumbukumbu ya kuwakumbuka, vyama vijitathimini sasa na kuthamini maisha ya watu na inawezekana kabisa kufanya harakati, kuchukua nchi bila kupoteza maisha ya watu wasio na hatia huku viongozi wao wakiendelea kupeta.

Kujifananisha na Misri, Syria au Libya bado sio sawa na kwetu, huku hao wanaharakati ndio majembe katika familia zao na yakiondoka mlolongo wa maumivu ni mkubwa mno. Tunawajua polisi wetu, na viongozi wao sidhani kama wanajali maisha yetu manake ya kwao hawajali ni rahisi sana kuleta maafa kwetu.

Shime shime viongozi wetu tunajua dhamira yenu ya kushika dola lakini ni wakati muafaka sasa kuangalia gharama zake manake gharama zinaanza kuwa kubwa sasa bora kufikiria namna bora za kupunguza gharama. Haiwezekani kila mkutano sasa kuna mtu anaondoka na 2015 ikifika tutakuwa tumepoteza wengi, we need everybody on body. Msipochukua hatua sasa wataanza kuua na viongozi.
 
Vyama wala visisubiri watu wafe wao waweke kumbukumbu ya kuwakumbuka, vyama vijitathimini sasa na kuthamini maisha ya watu na inawezekana kabisa kufanya harakati, kuchukua nchi bila kupoteza maisha ya watu wasio na hatia huku viongozi wao wakiendelea kupeta.

Kujifananisha na Misri, Syria au Libya bado sio sawa na kwetu, huku hao wanaharakati ndio majembe katika familia zao na yakiondoka mlolongo wa maumivu ni mkubwa mno. Tunawajua polisi wetu, na viongozi wao sidhani kama wanajali maisha yetu manake ya kwao hawajali ni rahisi sana kuleta maafa kwetu.

Shime shime viongozi wetu tunajua dhamira yenu ya kushika dola lakini ni wakati muafaka sasa kuangalia gharama zake manake gharama zinaanza kuwa kubwa sasa bora kufikiria namna bora za kupunguza gharama. Haiwezekani kila mkutano sasa kuna mtu anaondoka na 2015 ikifika tutakuwa tumepoteza wengi, we need everybody on body. Msipochukua hatua sasa wataanza kuua na viongozi.

Ila wakifa pia wasiachwe tuu,kwani kila kifo kina mchango katik mabadiliko.hata kama wauaji tuu ndio waliona.
 
Nimemsikiliza prof. kaongea kwa utulivu na busara kubwa angalau mwanzoni.Kajitahidi kutowaponda wapinzani wenzie wala kutoa maneno ya Jazba,ingawa katika kumalizia kashindwa tenganisha makundi yanayohitaji elimishwa ili majanga yasitokee.Kilichoniumiza ni kwamba hakutaja wahanga wa CUF katika matukio kama haya.Sijui ndio wameshawahaua na kuwaacha wapotee kwa kufa in vain? Vile vifo lazim avikumbukwe hata katik political arena kwani.Kama si waliowaua ndio wana makosa wabi marehemu wenyewe au hata viongozi wao au yote kwa pamoja.Vifo katik puplic au private si vyema kwa taifa hata kama hukumu ya mahamaka ni tofauti.

Kwa mtaji huu nadhani CUF haikuwa makini sana katika movements zao, na hivyo kufanya vifo vya wale jamaa kama kafara iliyomalizia mbio hapa chama kilipo.Hii itawafanya wazanzibar kuwa watu wa ajabu sana tofauti na wanavyoweza dhani.

Kingine nilichoshangaa ni BAN kwa polisi toka kwa waandishi wa habari kama ile ya CUF kuchapa waandishi.Sijui itakuweje katika TV.Ina maana polisi watakoasa coverage kabisa?Itakuweje hiyo?

hapana, pro lipumba hakusahau lakini haikuwa busara kutaja wahanga wa zaznaibar kisiasa katika wakati huu angalau hali ya kisiasa zanzibar inatia moyo kiasi japo haijatengamaa lakini afadhali. nategemea huu ni wasiwasi wako kuwa cuf haikuwa makini kupanga movement zao , ulitaka cuf ifanye nini kwa hali ya kisiasa iliyokuwepo zanzibar wakati ule? zanzibar ni eneo dogo mno kijografia lakini ni eneo pana mno kisiasa ,kiutamaduni na hata historia , yetu iliyojaa majonzi, hizuni, vilio na hata furaha hii ndio maana siku zote zaznibar inaakisi matokeo mengi yanayotokea tanganyika mfano ni hizi siasa za leo huko tanganyika , zanzibar tulikabiliana nazo ndani ya miaka20 iliyopita! ndio maana kuna msemo maarufu wakale unaosema ngoma ikipigwa zanzibar huchezwa maziwa makuu.
 
hapana, pro lipumba hakusahau lakini haikuwa busara kutaja wahanga wa zaznaibar kisiasa katika wakati huu angalau hali ya kisiasa zanzibar inatia moyo kiasi japo haijatengamaa lakini afadhali. nategemea huu ni wasiwasi wako kuwa cuf haikuwa makini kupanga movement zao , ulitaka cuf ifanye nini kwa hali ya kisiasa iliyokuwepo zanzibar wakati ule? zanzibar ni eneo dogo mno kijografia lakini ni eneo pana mno kisiasa ,kiutamaduni na hata historia , yetu iliyojaa majonzi, hizuni, vilio na hata furaha hii ndio maana siku zote zaznibar inaakisi matokeo mengi yanayotokea tanganyika mfano ni hizi siasa za leo huko tanganyika , zanzibar tulikabiliana nazo ndani ya miaka20 iliyopita! ndio maana kuna msemo maarufu wakale unaosema ngoma ikipigwa zanzibar huchezwa maziwa makuu.

Hakuna haja ya kuficha, mbona tunawakumbuka wapigania uhuru enzi ya mkoloni, huku tukiwa tunadumisha mahusiano na nchi ambazo babu zao walifanya mauaji makubwa?

Sidhani kama ilikuwa sehemu ya makubaliano kuwa wapige kimya, na kama ilikuwa hivyo basi hawakupaswa ingi akatik hayo maridhiano.

Kwa ujumla CUF walipotoka na kukurupuka katk lile vugu vugu na hata katk umoja wa kitaifa.CUF hawakuwa makini wala kuona mbali hadi pale CDM walipowaamsha na kuwaambia wazi kuwa wao si wapinzani tena bali ni shemu ya CCM.Ilichukua muda kuipata hiyo concept na mbaya kwa vile walijikuta wakiambiwa ktk kupanga safu ya kambi ya upinzani rasmi bungeni .Wao akili ilikwedna fasta kuamini kuwa CDM ni wabaguzi na wapenda madaraka,ila soon tuu tayari mambo yakaanza kuwa wazi sana na CUF kuanza gombana nda kushtumiana hadharani,huku wakikiri vitu vinavyoonyesha CDM walikuwa sahihi.

Bado CUF wana kipindi kigumu sana cha kurudisha reputation yao na kudilute udini ambao walisingiza kuwa nao na wao wakajitahidi uongezea.

Kwa ujumla Lipumba common sense ilianza kuja ila kaonekana pengine keshawasahau watu wake,tena walioangamia akiwepo madarakani.
 
Jana duni kapiga kelele kuwa mauaji hayakuanza jana wala Leo,ila watu wametokea lalama siku hizi.Nashindwa pata Picture.Kama mwenyekiti wake hajaweza wakumbuka wahanga ni vipi walaumiwe watu kukumbuka na kukemea mauaji yaliyotokea katik matukio ambayo cdm walikuwa na maandamano?

Kwa kukosa umakini CUF walishindwa ona kuwa mwenyekiti wao mwenyewe alikuwa hajui kamawaliokufa wana dhamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom