BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,580
- 2,340
Pole sana profesa. Ni kweli kabisa mtu kupigwa risasi hakumpi sifa yoyote ya ziada ya kuwa Rais wa nchi. Risasi tunaona huko duniani wanapigwa wahalifu kama majambazi, wauaji, mashoga, magaidi n.k haimaanishi wawe marais.