Prof. Lipumba apata ajali, gari yake yapinduka na kuharibika

Pole sana profesa. Ni kweli kabisa mtu kupigwa risasi hakumpi sifa yoyote ya ziada ya kuwa Rais wa nchi. Risasi tunaona huko duniani wanapigwa wahalifu kama majambazi, wauaji, mashoga, magaidi n.k haimaanishi wawe marais.
 
NAFSI YANGU

"Katika Zama hizi za marekebisho ya katiba asije akatumiwa vibaya na watu kuratibu maslahi ya hao watu kikatiba"!

"Uandishi wa kitabu ni mgumu sana sio VIZURI kutumika vibaya KWA maslahi ya wachache, jamhuri ndio yenye jukumu la katiba Gani inahitajika KWA MSTAKABALI ujao wa Taifa letu na sio kikundi cha watu fulani !

Wanasiasa wawe makini Sana kipindi hiki wasijejikuta wanapingana na matakwa ya Jamhuri na kuhatarisha HATMA yao ya kisiasa na kiraia nchini!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo Sana
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amepata ajali hiyo eneo la Nangurukuru baada ya gari yake kupinduka usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2023 wakati akitokea Mkoani Lindi....
ATAKAYE MKEJELI TUNDU LISSU Lazima YAMKUTE Jiwe yupo wapi? na huyu sasa
 
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu Mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo.

View attachment 2519013
Hii kwenye picha ni kipara ama ugonjwa alioupata baada ya kupinduka gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom