Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 835
Personal issues ndio msahafu wenu Chadema. Kazi kupinga kila kitu isipokuwa posho za wabunge. Hata mna budget mbadala?Wapinzani wa Nchi zingine wana budget yao mbadala ya taifa ikiekelezea sera zao na jinsi watakavyo i finance hiyo budget. Nyie mmekalia wizara vivuli. Wewe umeona wapi kivuli kikifanya kitu isipokuwa kufuata muundo halisi tu.
Kama wewe ni mfuatiliaji wa Bunge utajua kuwa CCM hawatekelezi wala hawajali bajeti mbadala ya Upinzani. Kwahiyo ushindi wa UKAWA itakuwa nafasi ya Upinzani kufanya yale waliokuwa wanayapendekeza kila mwaka wa bajeti bungeni.