SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,816
Hawa nawafananisha na Dr. Shika , na mwingine ni lile propesa la buguruniProfesa Kabudi,profesa Kitila,dokta mwigulu sijui haya mawatu waongo sana
Hawa nawafananisha na Dr. Shika , na mwingine ni lile propesa la buguruniProfesa Kabudi,profesa Kitila,dokta mwigulu sijui haya mawatu waongo sana
Au labda waraka wa Maaskofu ulihusu uhaba wa maji?Je kuna sehemu kwenye yale mapendekezo maskofu wameomba kujibiwa???
Katibu wa maji anajitwisha mzigo usiomhusu, hata kama ni muunini.
Ukipuuza kitu unakiongelea jukwaani!!!Na kuonesha kuwa kaupuuza,wanajibu Vijana kama akina mwakibinga.Saiz Mkumbo ataujibu.Waraka hauna hadhi ya kujibiwa na Rais.Na nafikiri wameona mbali sana,kujibu wa kkkt,ilitakiwa wajibu na TEC na ukitoka mwingine hivyohivyo.So serikal iendelee kuupuza hata chama naona kimeupuuza.Wajibu Vijana na watu wengine.
Hii serikali kila mtu ni msemaji wa serikali.
Itakuwa vyema na sahihi kama kesho bwana yule angehudumiwa kama muumini wa kawaida humo makanisani sio ile 'piga magoti tukuombee sijui ongea na kanisa etc. bashite naona kanisa analiogopa alitembelea mengi mara nimeokoka mara mniombee kwishney. Karibia na baba nanihiiii ataungana naye
Mungu ashushe gharika tuanze upya
Gharika huwa ina kawaida ya kuangamiza waovu
Huyu katibu mkuu wa wizara ya maji anadhihirisha kuwa utawala wa sheria sasa haupo. Chakujiuliza ni je, KKKT wametia chumvi kwenye maji? si wameelezea jinsi maji yalivyo kwa sasa yana ugwadu.Habari wanaJF,
Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo amemuandikia barua Askofu Mkuu wa KKKT, Frederick Shoo akiujibu waraka wa maaskofu hao uliotolewa Machi 24 mwaka huu..
Waraka wa Maaskofu wa KKKT ambao Prof. Mkumbo ameujibu: Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...
-------
FROM JF:
Ni kweli. Profesa Kitila Mkumbo ameithibitishia JamiiForums kuhusu waraka aliouandika kwa Maaskofu wa KKKT. JamiiForums itawasilisha waraka huo muda wowote kutoka sasa..
Pia maaskofu wanawajibu kama RAIA wa Tanzania.Anawajibu kama muumini kama haridhilki na waraka ulitaka akae kimya ? Wakati maaskofu wamehamasisha Uhuru wa kidemokrasia wa kuongea au kutoa ya moyoni bila kubughudhiwa? Anatumia demokrasia wanayosisitiza kuwajibu hawaltakiwi kumfunga mdomo
HahahaaaaaaaaBila shaka maaskofu walikuwa wanalalamikia huduma za maji.
Wametia aluminium sulphate bila chlorine.Huyu katibu mkuu wa wizara ya maji anadhihirisha kuwa utawala wa sheria sasa haupo. Chakujiuliza ni je, KKKT wametia chumvi kwenye maji? si wameelezea jinsi maji yalivyo kwa sasa yana ugwadu.
To every action there is an equal and opposite reaction.Du KATIBU mkuu wizara ya maji tena wa CCM kujibu hoja za maaskofu kweli kisu kimeingia kwa mfupa!
Utasomwa kwenye mamlaka zote za maji nchini ili waongeze chlorine kwenye maji.Labda barua yake nayo itasomwa katika makanisa yote ya KKKT nchi nzima.
Kama wajibu wao ni wa kiraia waraka ungesema hivyo; ila kwa matumizi ya titles zao inamaana kwamba wanatoa waraka huo Katika capacities zao; hivyo moja moja kuchukuliwa kama kauli ya kanisaPia maaskofu wanawajibu kama RAIA wa Tanzania.