payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Hivi unajua Kuna taasisi zitoazo huduma kwa umma wa Tanzania, ambazo zinatoza customers kwa USD? .
Hii inapingana na kauli yako uliyoitoa hivi karibuni kwa kusema quotation katika USD si tatizo, kwani hata mtu akienda na Tshs Zinapokelewa kwa Kutumia Exchange ya siku hiyo. Napenda kukuhakikishia hili si kweli...... Mfano mzuri ni Hoteli Ya Doubletree...ukienda na madafu yako wanakataa na kukusisitiza nenda katafute Mi USD.
Kuna dada mmoja nae kaniambia kuna shule moja ya international anayosoma mwanae nayo mwendo ni huohuo ......Huna USD Mkononi Rudi na Mwanao Nyumbani.
Hii inapingana na kauli yako uliyoitoa hivi karibuni kwa kusema quotation katika USD si tatizo, kwani hata mtu akienda na Tshs Zinapokelewa kwa Kutumia Exchange ya siku hiyo. Napenda kukuhakikishia hili si kweli...... Mfano mzuri ni Hoteli Ya Doubletree...ukienda na madafu yako wanakataa na kukusisitiza nenda katafute Mi USD.
Kuna dada mmoja nae kaniambia kuna shule moja ya international anayosoma mwanae nayo mwendo ni huohuo ......Huna USD Mkononi Rudi na Mwanao Nyumbani.