sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,134
- 4,252
CCM msitumie nguvu nyingi kwa vitu vilivyo wazi,jinamizi la ufisadi litawasumbua hata baada ya uchaguzi mkuu.Elimu yenu mpya ya kuhalalisha ufisadi ni kinyume cha imani za chama chenu.Ni vigumu kubinafisha akili za wananchi kuliko kubinafsisha migodi mikubwa ya mkaa wa mawe au ya dhahabu.