Kigwangala. Mkuchika, Makmba
Mwisho wa siku munamtuhumu tu Spika lakini CAG aliamsha ye mwenyewe huu mgogoro..!
Dhaifu ni tusi?
Mahakama zipo milango wazi, pelekeni lalamiko lenu...
Kigwangala. Mkuchika, Makmba
Mwisho wa siku munamtuhumu tu Spika lakini CAG aliamsha ye mwenyewe huu mgogoro..!
Bado wapo, waziri Mwinyi, Makamba, Mbalawa, yupo Makonda, Hapi nk!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikiliza hiyo clip ya mahojiano kule UN, kila kitu kipo wazi. lakini nikuulize swali. enzi za Jk, tulizoea kuona bunge likiisimamia serikali, na kusababisha mawaziri kujuzulu na wengine kuwajibishwa. hilo hivi sasa halipo. Ni kwa nini?Kama kuna hizo hoja au taarifa zenye kuonesha udhaifu wa Bunge kwa mujibu wa Assad ziweke hapa ...mimi sina ujasiri wa mbwa hata siku moja
Ukiona mtu anaokotoa mawe, ujue ngumi zimemshinda. ukiona mtu anatukana ovyo, ujue hoja zimemshinda. hivi kama CAG angeongea hiyo lugha ya mbwa dhidi ya Ndugai au bunge, si angeitwa kwenye kamati mara ya pili, kama vile ambavyo Ndugai alidokeza jana kwamba akitumia neno hilo tutamwita tena kwenye kamati? huko ndio kushindwa. POLENI SANA!Ujasiri wa Mbwa koko
Mama Tibaijuka aliogea kitu nikamuelewa,nadhani sasa anaanza kulinda heshima ya Uprofesa wake,Prof Musa Assad Juma , ametoa fundisho la kutosha kwa tasnia inayo jiita ya wasomi hapa nchini.
Mbali ya kuonyesha jicho na fikra za msomi zinavyo stahili kuwa, lakini pia ameonyesha jinsi wacha Mungu wanavyo stahili kuusimamia ukweli.
Kuna kipindi fulani waliitwa hao wanajiita wasomi kwenda kuzungumzia ni jinsi gani serikali yetu inavyo weza kujiendesha na kutuletea mafanikio, mbona ilikuwa ni aibu , badala ya kushauri wao wabaki kutoa sifa za uongo uongo tu, kwa ukweli walitia aibu ya kupindukia.
Ni wazi kuwa awamu hii imekuja na kamtindo fulani ka kukataa kuambiwa ukweli, lkn Assad jipe moyo na watanzania wameona utendaji wako.
Ni wazi kuwa yajayo yanaweza yasifarahishe sana , lakini baki kuwa shujaa kwa kuto mpigia magoti shetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana CAG aliomba majibizano aliyofanya na kamati ya bunge yawekwe wazi ili umma ujue alichoulizwa na alichojibu. Jambo ambalo si rahisi kutetekelezwaHujui usemalo! We unajua kwenye kamati aliulizwa nini na alijibu nini? Unajua alitoa maelezo gani kuhusu maana ya neno "dhaifu" kama linavyotumika kwenye tasnia ya ukaguzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa msomi haimaanishi wewe kuona wengine kazi zao ni dhaifu.Kilikuwa ni kitu kidogo tu cha kuomba radhi na kufafanua hilo neno lake la udhaifu wanavyolitumia kwenye kazi yao kama neno la kawaida.Vinginevyo alionyesha kuwa yeye ni anadharau na hata kuweka sifa mbaya kwa wasomi ni watu wenye dharau wakiwa makazini.Nchi haindeshwi kwa misifa na majivuno ya usomi bali ni kwa weledi na ustahimilivu na kufuata sheria basi.
Kwani ukiwa dhaifu na mtu akakwambia wewe ni dhaifu ni kosa ?Kuwa msomi haimaanishi wewe kuona wengine kazi zao ni dhaifu.Kilikuwa ni kitu kidogo tu cha kuomba radhi na kufafanua hilo neno lake la udhaifu wanavyolitumia kwenye kazi yao kama neno la kawaida.Vinginevyo alionyesha kuwa yeye ni anadharau na hata kuweka sifa mbaya kwa wasomi ni watu wenye dharau wakiwa makazini.Nchi haindeshwi kwa misifa na majivuno ya usomi bali ni kwa weledi na ustahimilivu na kufuata sheria basi.
Acha kupotosha Prof alishatoa ufafanuzi wa alichokuwa anaimanisha ,usitake kulazimisha nyeupe kuwa nyeusi .Kuwa msomi haimaanishi wewe kuona wengine kazi zao ni dhaifu.Kilikuwa ni kitu kidogo tu cha kuomba radhi na kufafanua hilo neno lake la udhaifu wanavyolitumia kwenye kazi yao kama neno la kawaida.Vinginevyo alionyesha kuwa yeye ni anadharau na hata kuweka sifa mbaya kwa wasomi ni watu wenye dharau wakiwa makazini.Nchi haindeshwi kwa misifa na majivuno ya usomi bali ni kwa weledi na ustahimilivu na kufuata sheria basi.
Kuna kipindi fulani waliitwa hao wanajiita wasomi kwenda kuzungumzia ni jinsi gani serikali yetu inavyo weza kujiendesha na kutuletea mafanikio, mbona ilikuwa ni aibu , badala ya kushauri wao wabaki kutoa sifa za uongo uongo tu, kwa ukweli walitia aibu ya kupindukia.
Tungekuwa na wasomi wenye kujua wanachosimamia kama prof Assad basi nchi ingekuwa mbali!
Binafsi nampongeza Profesa kwa msimamo wake na aendelee hivyo kwani angetaka angeweza kufanya yale ya kuhudumia tumbo lake. Baada ya hapo ni vizuri pia tujue Professa nafasi yake inalindwa kikatiba na sio rahisi kumfukuza kazi (ukiacha kutumia nguvu au vitisho). Sasa mkija kwa maprofessa wengine tujue kuna wazalendo wengi tu wanachapa kazi zao kama maprof. vyuoni. Shida inakuja wanapo pewa au wanapo tafuta kazi zenye siasa ndani yake, wengi husoma alama za nyakati na kuamua kuridhisha matumbo yao hadi kukana kile wanacho amini. Wapo pia ambao wao madaraka huyaweka mbele sana na wako tayari kufanya lolote bora tu wawe karibu na wahusika. Lakini pia wako wale ambao ni waoga na kwa sababu nafasi zao hazina kinga huamua kimya kimya kufanya yale wakubwa wanayotaka hata kama wao wenyewe hawayapendi (watoto lazima wale eti).... Prof. Mussa Assad ni chapa halisi ya binadamu yeyote anayeitwa msomi wa angalau shahada ya uzamivu (PhD). Prof. Assad, ameuona na kuutamka ukweli kama ulivyo pasi na unafiki wowote; so amejipambanua kuwa tofauti na wachungaji, maaskofu, na mashekhe wetu ambao unafiki hauwaishi vinywani.
So far sijaona hoja yoyote ya CAG inayoelezea udhaifu wa bunge...huu sio usomi bali ni uropokaji ndio maana wanaoushangilia ni Nyumbu
Nakupa poleNimekuja kugundua hii nchi haina uzalendo, kama raisi magufuli anahusika kwa namna moja au nyingine kwa ubadhirifu unaoelezewa katika ripoti hiyo basi mwenyezi Mungu na yeye ndo wanajua watakachofanyiana baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuitwa dhaifu si dharau. Mm ni msomi.. na nikwambie tu.. hata chuo ukifel ww ni dhaifu. YesKuwa msomi haimaanishi wewe kuona wengine kazi zao ni dhaifu.Kilikuwa ni kitu kidogo tu cha kuomba radhi na kufafanua hilo neno lake la udhaifu wanavyolitumia kwenye kazi yao kama neno la kawaida.Vinginevyo alionyesha kuwa yeye ni anadharau na hata kuweka sifa mbaya kwa wasomi ni watu wenye dharau wakiwa makazini.Nchi haindeshwi kwa misifa na majivuno ya usomi bali ni kwa weledi na ustahimilivu na kufuata sheria basi.
CCM, Chadema, na vyama vyote, hamna mzalendo hata mmoja, nchi pekee yenye uzalendo ni china tu, kule mtu wa serikali ukileta wizi na udanganyifu ni jela tu na kila mwisho wa mwaka wanatembezwa magerezani ili kujiwekea akilini kitakachotokea wakikamatwa wanaibaiba fedha za wananchi, huku hamna mtu mzalendo, japo kwa nje watu wanatimiza majukum yao kwa 70% still wizi bado upo, tena kwa mabilioni, no wonder hii nchi haipigi hatuaNakupa pole
umechelewa sana kugundua.
Ndani ya CCM hakuna mtu hasiye na damu ya kifisadi.
CAG hajaamsha ila ameweka ukweli. Kama unavyojua ukweli unauma. Na spika vile ana akili ndogo akakurupuka kuanza kuchimba biti..Kigwangala. Mkuchika, Makmba
Mwisho wa siku munamtuhumu tu Spika lakini CAG aliamsha ye mwenyewe huu mgogoro..!
Kwani amevunja sheria IPI?Kuwa msomi haimaanishi wewe kuona wengine kazi zao ni dhaifu.Kilikuwa ni kitu kidogo tu cha kuomba radhi na kufafanua hilo neno lake la udhaifu wanavyolitumia kwenye kazi yao kama neno la kawaida.Vinginevyo alionyesha kuwa yeye ni anadharau na hata kuweka sifa mbaya kwa wasomi ni watu wenye dharau wakiwa makazini.Nchi haindeshwi kwa misifa na majivuno ya usomi bali ni kwa weledi na ustahimilivu na kufuata sheria basi.