Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

Katika hali ya kushangaza waziri wa ardhi bibi bomba anna tibaijuka amedai yeye na profesor muhongo bado wanaaminika sana na raisi kikwete na yeye binafsi hawezi kujiuzulu ila yupo tayari kurudisha fedha alizokwapua za escrow account.

Source- mtanzania
 
Kuwalea mafisadi ni fursa kwetu ukawa kuingia ikulu na watazirudisha tu fedha zetu hata kama walipokea in good faith.
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa ardhi bibi bomba anna tibaijuka amedai yeye na profesor muhongo bado wanaaminika sana na raisi kikwete na yeye binafsi hawezi kujiuzulu ila yupo tayari kurudisha fedha alizokwapua za escrow account.

Source- mtanzania

Tutashukuru akizirudisha
 
Mama Tibaijuka hana sababu za Kujiuzulu, huyu mama ni mwadilifu na mchapa kazi sana
 
Azirudishe hizo fedha kwa kuwa tunazihtaj sana katika maendeleo ya hii nchi.
 
Kumbuka kwamba fedha aliiombea shule akiwa fundraiser wa Barbro Johansson school na hayo yote yapo katika taarifa ya Balozi Rupia. Tusilazimishe tu mambo kwa sababu tunataka kuonekana kwamba tumeshinda. Suala la kumshupalia huyu mama wa watu lina sababu nyingine zaidi ya fedha za shule. Pesa hiyo pia asingeweza kuigawa ienmde popote kwa sababu ni ya shule ya Barbro na aliikabidhi kama lilivtotakiwa. Tuache ushabiki ambao hautusaidii lolote.

Watanzania bado hatujapata Elimu ya kutosha kuhusu somo liitwalo "Money Laundering" Yaani "Utakatishaji Fedha halamu"! Mafisadi kote duniani, hutumia mtindo huu kama aliotumia Mama Tibaijuka. Kwamba unatafuta Legal activity in advance, halafu unachota Fedha halamu na kufadhili au kusaidia shughuli halali. Hicho ndicho alichofanya Tibaijuka. Fund raising (Shughuli halali) + Escrow Money (Fedha halamu)= Money Laundering. Kumbuka Mafisadi ni watu smart sana! Wanafikiria mambo in advance.
Hata ajitetee vipi ni ngumu Sana kueleweka! This is a pure Money Laundering
 
nani kamwambia aje kwetu kutuambia mambo hayo

MAAZIMIO YA KAMATI YA BUNGE NI KWAMBA AOENDOLEWE NA UCHUNGUZI DHIDI YAKE UFANYIKE ILI HATUA STAHIKI ZICHUKULIWE,,TUNASUBIRI KUTEKELEZWA KWA MAAMUZ HAYO NA RAIS

YEYE MWEHU TUH SISI ATATUELEZA NINI.
 
When you see a Toad jumping around during a daylight then know something is behind it. Subiri uone na kusikia kauli za Mkuu wa Kaya jioni, Watanzania watabaki vinywa wazi
 
Back
Top Bottom