Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

Hapo zamani wakati nakua nilijua cheo ni dhamana,yaani unaweza ukachagulia na kuachwa bila tatizo lolote kwa kuwa msingi wake ulikuwa kuwatumikia wananchi,hivi sasa cheo si dhamana tena bali ni haki ya mteuliwa na aliyeteua na ndio maana viongozi hung'ang'ania kukaa madarakani hata kama wanavurunda hapo ndio unao tofauti ya Mzee Kawawa ,Sokoine .Tujiulize kwa sasa ni kiongozi gani angeacha nafasi ya Uwaziri Mkuu ili eti akasome kama alivyofanya Sokoine.Nakumbuka hapo nyuma katika kundi hili alikuwepo Prof.Mwandosya ambaye aliacha nafasi ya Katibu Mkuu wizara ya Viwanda na Biashara chini ya CD Msuya na akaenda kufundisha ,ingawa naye sasa kgeuka na kuwa kama wenzake ingawa bado anajitahidi kuwa na misimamo tofauti na wenzake kama tulivyoona kwenye Escrow.
 
kuna taarifa jk aliwaomba sana wajiuzulu wenyewe ameanza werema nadhani huyu anafwata

Nani kasema kujiuzulu kwao kunatosha?
Tunataka kila mmoja afikishwe mahakamani kulingana na makosa yake.
Hili suala ni zito sana , Mr. Dhaifu asidhani this time kuna upepo utapita.
 
Wakuu mama tibaijuka ataachia uwazir chanzo changu cha kuaminika
 
Jamaa angerudi!
 

Attachments

  • 1418890199174.jpg
    1418890199174.jpg
    54.6 KB · Views: 597
Nitangaze au nisitangaze?????
Mh tibaijuka ame
Ame!


Ame



Ame

Aaaaaameeeeeeeeeekaaaaaaachaaaaaaaaaaaaa

Mmmmkuuuuuuuuutaaaaaaaaanooooooo.
 
Back
Top Bottom