Prison ya Mbeya yapata ajali

kazikubwa

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
597
145
Timu ya soka ya Prison ya Mbeya imepata ajali mbaya mkoani Tanga baada ya gari lao aina ya Coster kupinduka mara tatu. Hivyo mechi yao na Mgambo JKT imeahirishwa hadi hapo baadaye.

Source: ITV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom