iko kitabu kilikuwa kizuri sema shida ni kwenye ufundishaji
Uko sahihi mkuu,nilishashuhudia siku moja walimu wa shule ya msingi wakigawana masomo kwa ajili ya kuanza muhula mpya,basi binti mmoja mrembo wa sura ndio alikuwa anaanza kazi akaambiwa atafundisha kiingareza darasa la kwanza bila aibu binti akajibu jamani mimi kiingereza sijui,kimoyomoyo nikasema mungu wangu safari ni ndefu kama walimu wanakuja kuanza kazi hata english ya Mr Daudi(laini kitabu kilikuwa kipya si hiki cha mr Daudi) hawawezi sijui tutegemee nini kwa watoto wetu,na hii ilikuwa juzi tu mwaka 2003..
Mkuu St. Paka Mweusi hapo kwenye Red nirudishie Change yangu!! Engili STD 1.............