Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Episodes za Mengi vs Rostam zimetufanye tusahau kabisa mambo haya...maana naona since 2005 tumekuwa bize sana na mambo ya Ufisai huku kimya kimya taiflinageuka kuwa kama lile lililotajwa na GEORGE ORWELL kwenye kitachake cha 1984 the so called wanasheria wetu kama akina Mkono wamekuwa kimya kwani wako bize na mikataba ya ifisadi..wanafunzi wa sheria wa University of Dar es salaam walitakiwa wawe vocal kama kawaida ya wanafunzi lakini wapi!!!
Tatizo sijui hawaoni wenzao kwenye vyuo vingine kama kule UCLA walivyo active kwenye mambo haya ya kuelimisha jamiii na sielewi hata kama wanatoa PRO BONO services kwa wananchi wasio na uwezo wa kuwalipa hao akina Marando na MKONO
Nakumbuka Prof ISSA SHIVJI alipoulizwa je ana maoni gani kuhusu hiii act yetu akasema kuwa its so perfect in terms of wording kiasi cha kuwa haiwezekani sisi tukawa that good kwani tuna historia ya kuvuruga...eventually ikaja gundulika walichokifanya ni ku COPY & PASTE ile PATRIOT ACT ya USA
Sasa mbaya zaidi ukiipitia kwa makini hii sheria utaogopa zaidi kwani in short CIVIL LIBERTIES zote zimekuwa shelved na inashangaza kuona kuwa hii sheria imetungwa in the 21 century na imewezekanikakubalika in the eyes of those who claim kuwa wana champioon democracy.
Kwa haraka haraka ukiisoma hii sheria primary objective yake inaonekana ni kukamata au kuzuia wale ambao wanafanya uhalifu lakini ukitaka kujua kuwa tunaishi kwenye POLICE STATE hii sheria imewapa Polisi sweeping powers mfano ni:
section 29 (6) na section 31 (3) inawaruhusu polisi kuingia KWA SIRI nyumbani kwa mtu yoyote yule, kisha waka plant gadgets kama vinasa sauti kishabaadae kisheria wanaruhusiwa kutumia hizo information against the occupier!!
Kana kama hiyo haitoshi huyu polisi is not under any oblication ya kuleta witness yoyote...na mbaya zaidi kwenye section 34(3) (a) & (b) of the very Act, wanasema kuwa ushahidi wa siri unakubalika...na wanaendelea kusema kuwa NO CROSS EXAMINATION IS ALLOWED & IDENTITY OF THE WITNESS NEEDS NOT TO BE REVEALED!!
Hiyo section 3 (4) (b) ya hiyo Act ndio mbaya zaidi kwani inakubali hearsay au maneno ya mdomo kama ushahidi vile vile section 35 inasema kuwa ni sawa kukubali ushahidi by certificate WITHOUT PROOF OF SIGNATUREOF THE PERSON PURPORTED TO HAVE SIGNED IT!!
Mpo hapo?
basi kwa kuendelea tuu ni kuwa section 40 ya hiyo act inaruhusus the use of SECRET INFORMERSna ina provide protectionkwa hao ma INFORMERS hata kama wakipeleka habari za UWONGO from civil or criminal action against them
Lakini mbaya zaidi kuna sections zingine kwenye hiii sheria ambazo zinaenda kinyume na basic human rights mfano , section 29 (6) ya hiyo Act inasema kuwa polisi hatohusika kwa lolote lile kwenye civil or criminal proceedngs kwa sababu katumia nguvu, kaharibu mali, kaumiza au kaua raia yoyote yule wa wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Kwa maneno mengine hii section 33 ( ina excuse looting by untrustworthy police officers in that "NO CIVIL or CRIMINAL PROCEEDINGS SHALL LIE AGAINST THE POLICE OFFICERS FOR SEIZURE OF PROPERY MADE IN GOOD FAITH"
Huhitaji kujua haya yote yanavunja Katiba na mbaya zaidi kkuna watu zaidi ya 1000 ambao wamekamatwa au wameuawawa au biashara zao zimefungwa kwa kutumia sheria hizi
Ukisikia tunaishi kwenye police state hii ndio maana yake
BADO WANATAKA KULETA DRACONIAN LAWS ZA ID CARDS AMBAZO ZITA COST BILLIONS ...WELCOME TO POLICE STATE TANZANIA
Tatizo sijui hawaoni wenzao kwenye vyuo vingine kama kule UCLA walivyo active kwenye mambo haya ya kuelimisha jamiii na sielewi hata kama wanatoa PRO BONO services kwa wananchi wasio na uwezo wa kuwalipa hao akina Marando na MKONO
Nakumbuka Prof ISSA SHIVJI alipoulizwa je ana maoni gani kuhusu hiii act yetu akasema kuwa its so perfect in terms of wording kiasi cha kuwa haiwezekani sisi tukawa that good kwani tuna historia ya kuvuruga...eventually ikaja gundulika walichokifanya ni ku COPY & PASTE ile PATRIOT ACT ya USA
Sasa mbaya zaidi ukiipitia kwa makini hii sheria utaogopa zaidi kwani in short CIVIL LIBERTIES zote zimekuwa shelved na inashangaza kuona kuwa hii sheria imetungwa in the 21 century na imewezekanikakubalika in the eyes of those who claim kuwa wana champioon democracy.
Kwa haraka haraka ukiisoma hii sheria primary objective yake inaonekana ni kukamata au kuzuia wale ambao wanafanya uhalifu lakini ukitaka kujua kuwa tunaishi kwenye POLICE STATE hii sheria imewapa Polisi sweeping powers mfano ni:
section 29 (6) na section 31 (3) inawaruhusu polisi kuingia KWA SIRI nyumbani kwa mtu yoyote yule, kisha waka plant gadgets kama vinasa sauti kishabaadae kisheria wanaruhusiwa kutumia hizo information against the occupier!!
Kana kama hiyo haitoshi huyu polisi is not under any oblication ya kuleta witness yoyote...na mbaya zaidi kwenye section 34(3) (a) & (b) of the very Act, wanasema kuwa ushahidi wa siri unakubalika...na wanaendelea kusema kuwa NO CROSS EXAMINATION IS ALLOWED & IDENTITY OF THE WITNESS NEEDS NOT TO BE REVEALED!!
Hiyo section 3 (4) (b) ya hiyo Act ndio mbaya zaidi kwani inakubali hearsay au maneno ya mdomo kama ushahidi vile vile section 35 inasema kuwa ni sawa kukubali ushahidi by certificate WITHOUT PROOF OF SIGNATUREOF THE PERSON PURPORTED TO HAVE SIGNED IT!!
Mpo hapo?
basi kwa kuendelea tuu ni kuwa section 40 ya hiyo act inaruhusus the use of SECRET INFORMERSna ina provide protectionkwa hao ma INFORMERS hata kama wakipeleka habari za UWONGO from civil or criminal action against them
Lakini mbaya zaidi kuna sections zingine kwenye hiii sheria ambazo zinaenda kinyume na basic human rights mfano , section 29 (6) ya hiyo Act inasema kuwa polisi hatohusika kwa lolote lile kwenye civil or criminal proceedngs kwa sababu katumia nguvu, kaharibu mali, kaumiza au kaua raia yoyote yule wa wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Kwa maneno mengine hii section 33 ( ina excuse looting by untrustworthy police officers in that "NO CIVIL or CRIMINAL PROCEEDINGS SHALL LIE AGAINST THE POLICE OFFICERS FOR SEIZURE OF PROPERY MADE IN GOOD FAITH"
Huhitaji kujua haya yote yanavunja Katiba na mbaya zaidi kkuna watu zaidi ya 1000 ambao wamekamatwa au wameuawawa au biashara zao zimefungwa kwa kutumia sheria hizi
Ukisikia tunaishi kwenye police state hii ndio maana yake
btw
BADO WANATAKA KULETA DRACONIAN LAWS ZA ID CARDS AMBAZO ZITA COST BILLIONS ...WELCOME TO POLICE STATE TANZANIA
Last edited: