Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,883
- 2,374
Lowasa alihusika na ufisadi ujenzi wa jengo la ukumbi wa mikutano AICC?! Haya si yalijengwa Lowasa akiwa labda primary school? CCM msiruhusu wajinga kama huyu hoza kuvuruga watu. Lowasa atuhumiwe kwa haki si uzandiki kama huu.
Hata mimi hili limenitatiza kidogo maana Lowassa alikuwa mkurugenzi pale kati ya 1988 na 1991. Hili pekee limeondoa radha ya tuhuma zingine zote.