Presidents Jakaya Kikwete (Tanzania) and Paul Kagame (Rwanda) have not confirmed TO ATTEND KAMPALA

mkuu wa nchi nenda husisikilize watu wasioona mbele hapa jf.hakuna tatizo lisilo na suluhu hispokua kuumba mtu au kumfufua mtu hapa chini ya jua.hawa watu wanaoshauri kuendeleza bifu ni kutokuwa makini na kutazama mbali kiuchumi na ujirani mwema.nilishaongea tokea mwanzo hapa kuwa tusishabikie au kuotesha mizizi ya chuki kwani kuzibomoa itakuwa ngumu sana.tuwe makini sana.sasa hivi kila kona ya hii nchi mmeshuhudia watanzania wamegawanyika tayari kuhusu ubaguzi huo.watu smart wanataka suluhu watu wenye akili nyingi wao wanataka kuendelea kuotesha mizizi ya chuki sijui mpaka lini jamaniiiiiiiiiiiiiiiii.ee mwenyezi mungu tunakuomba epusha hii balaa.kama kuna mtu atasema mimi ni mnyarwanda nitakubali.kwani mimi kabila langu ni muebrania kabila la bwana yesu.na bwana yesu alisema nilikuwa na njaa ulinipa chakula,nilikuwa na kiu ulinipa maji,nilikua gerezani ulinitembelea.alafu enzi zile za erodi.erodi alipotaka kuwaua watoto chini ya miaka 5.joseph na maria walikimbilia misri.asante misri kwa kumpokea illegal immigrate bwana yesu christo.sasa chochote utakacho mfanyia yeyeto kati yetu umemtendea yesu.iwe jema au baya.mungu awabariki sana.tuwe makini kwa faida ya watoto wetu baadae.amen

weee mtustsi..acha uoga na mawazo finyu ya kipuuzi...hapa hatuongelei habari za yesu wala maria kukimbilia misri...pia ukumbuke maria alipofika misri alikaa kwa amani na heshima kwa wenyeji aliowakuta..sio nyie mnaotukanana kuua wenyeji wenu.

Pia ukiongelea habari za yesu ... Nadhani nyie na kagame wenu hamustahili kuongelea habari za mtu huyo...yeye alihubiri upendo na maelewano baina ya wanadamu..kitu ambacho kagame hataki hata kukisikia.

Pia kumwomba mungu aepushe balaa la kagame kuchapwa ni kumchosha na kumbebesha mzigo ambao tanzania na jwtz tumeamua kumsaidia ... Balaa alitakiwa aepushe kaka yenu tall kwa kupokea ushauri wa maongezi ya amani ili kongo kuwe na amani ya kudumu..

Kitendo caha kukataa ushauri wa jk kinatosha kutumika pia kumwomba mungu atuzidishie jwtz uwezo wa kuwatia despline..kumbuka kipindi mungu alipoufanya moyo wa farao kuwa mgumu..nadhani pia anaufanya moyo wa kagame uwe mgumu ili tanzania taifa la mungu limtie adabu ajuwe tunamuamini mungu anayeishi.

Mfa maji heshi kutapatapa.
 
Haya mkuu.nimekubaliana na wewe.Leo tumeweka mnara wa kumbukumbuku ya mauaji ya mwangosi kule Iringa.Na wauji mengi ya kule arusha kwa kutumia mabomu kukata kichwa kwa msumeno alikuwa ana injinia nani???.sasa aende kutoa ushauri kwa nani wakati yeye ni muuaji pia??.ccm ime injiania mauaji mengi sana mpaka kuwatesa watu kukata kucha,kuweka watu ndani ,kubambikiza kesi ,eti atoe ushauri ?????????????.hell no.Atoe ushauri mtu safi sio muuaji.Unatakiwa uwe na akili sana kuelewa hili sakata.sasa endelea utaona.mimi nasema vita sio vizuri.kwani wewe kabila gani?nijibu tuendelee utapata elimu tu mkuu .
 
Wewe unafaa sana vitani,na kama mwamunyage angejua kuna shujaa yupo tu mtaani na hujampa kombati na AK 47.Kwani nimekukubali wewe lazima ukawe front line vitani kwani kwa maongezi yako.Nimekubali wewe ni shupavu kwenye vita.Tanzania hatuna shida kuna watu wanayoongea ndio wanayotenda.nakupa big up mkuu.
 
weee mtustsi..acha uoga na mawazo finyu ya kipuuzi...hapa hatuongelei habari za yesu wala maria kukimbilia misri...pia ukumbuke maria alipofika misri alikaa kwa amani na heshima kwa wenyeji aliowakuta..sio nyie mnaotukanana kuua wenyeji wenu.

Pia ukiongelea habari za yesu ... Nadhani nyie na kagame wenu hamustahili kuongelea habari za mtu huyo...yeye alihubiri upendo na maelewano baina ya wanadamu..kitu ambacho kagame hataki hata kukisikia.

Pia kumwomba mungu aepushe balaa la kagame kuchapwa ni kumchosha na kumbebesha mzigo ambao tanzania na jwtz tumeamua kumsaidia ... Balaa alitakiwa aepushe kaka yenu tall kwa kupokea ushauri wa maongezi ya amani ili kongo kuwe na amani ya kudumu..

Kitendo caha kukataa ushauri wa jk kinatosha kutumika pia kumwomba mungu atuzidishie jwtz uwezo wa kuwatia despline..kumbuka kipindi mungu alipoufanya moyo wa farao kuwa mgumu..nadhani pia anaufanya moyo wa kagame uwe mgumu ili tanzania taifa la mungu limtie adabu ajuwe tunamuamini mungu anayeishi.

Mfa maji heshi kutapatapa.
Mkuu umempiga vema huyu mjinga hawa watusi wanadhani sisi ni hoples kama wao tena watukome mapenzi hayalazimishwi,
wametuchosha kwa hiyo tusichoshane kabisa wauji wakubwa yesu leo wamemjulia wapi.
 
Haya mkuu.nimekubaliana na wewe.Leo tumeweka mnara wa kumbukumbuku ya mauaji ya mwangosi kule Iringa.Na wauji mengi ya kule arusha kwa kutumia mabomu kukata kichwa kwa msumeno alikuwa ana injinia nani???.sasa aende kutoa ushauri kwa nani wakati yeye ni muuaji pia??.ccm ime injiania mauaji mengi sana mpaka kuwatesa watu kukata kucha,kuweka watu ndani ,kubambikiza kesi ,eti atoe ushauri ?????????????.hell no.Atoe ushauri mtu safi sio muuaji.Unatakiwa uwe na akili sana kuelewa hili sakata.sasa endelea utaona.mimi nasema vita sio vizuri.kwani wewe kabila gani?nijibu tuendelee utapata elimu tu mkuu .

Unagongwa na mashetani wewe.
 
Nashsuri kama kikao ni cha muhimu atumie video conferencing -kama clinton
 
Sitta au membe nani kuwakilisha kikao cha mawaziri - tarehe 5/9
 
Wewe unaonekana una akili sana sana.Nakupongeza sana.Umekimbia hoja na umekimbilia upande mwingine unaoupenda na kuona kama utakuwa unakupa unafuu wa kunikimbia.Mkuu sitatukana kama ulifanya kwani tupo hapa katika kujenga nchi na wala sio kubomoa nchi.Hata kama wewe umehamaki.Nisamehe kama vile ninavyosema kwa kikwete aongee na mgomvi wake.Tuongee vizuri na nitakupongeza ukiongea vizuri na uniambia kwa hoja kama kuna kitu kipo sio sahihi.Nitakubali na sio Matusi.
 
Dah, ningependa niione ( of course kupitia luninga) moment watakapokutana uso kwa uso Wakubwa hawa kesho Kampala, hasa kufuatia yaliyojiri wiki za hivi karibuni kati yao! Wadau mnasemaje?
 
Kampala kuna nini Kesho? M7 na Kagame ni kama mtu na kaka yake. Rais Kikwete usiende. Wasije wakakuua bure.
 
Kagame, Kikwete yet to confirm IGCLR presence

Kampala


Presidents Jakaya Kikwete (Tanzania) and Paul Kagame (Rwanda) have not confirmed but are expected to attend the meeting of the International Conference on the Great Lakes Region scheduled for Thursday.

The Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs, Mr James Mugume, said they were yet to confirm the beefing leaders’s attendance at a meeting to discuss the renewed fighting between M23 rebels and the DR Congo forces. “We sent invites at the weekend. We haven’t received confirmation. But I think they will attend,” he said.

At least 12 regional presidents are expected to attend the meeting on the DRC crisis which threatens regional stability, with thousands of refugees fleeing into Uganda and Rwanda.

President Kikwete and his Rwandan counterpart fell out and have been attacking each other after Tanzania suggested that Rwanda should negotiate with FDRL, a Rwandan rebel group operating in DR Congo. In response, President Kagame accused Mr Kikwete of siding with FDRL that is reportedly composed of the former suspects of the 1994 Rwanda genocide.

Possible talks?
It is not clear whether President Museveni, who is the chairperson of ICGLR, will try to mediate talks between the two leaders. “It will depend on the chairperson and the two presidents. All these are subsets of issues to be discussed,” Mr Mugume said.

Tanzania is commanding the UN intervention brigade which has been bombing the M23 rebels, allegedly supported by Rwanda. The UN Special Envoy for African Great Lakes Region, Ms Mary Robinson, and the US government representative are expected to attend.

The statement issued by ICGLR secretariat says the summit will be preceded by parallel meetings of defence and regional inter-ministerial committee comprised of ministers of foreign affairs from the member states.

Kama anakwenda basi aache jeshi lipo kwenye hali ya kivita ili litakalotokea tu kwa rais wetu basi tuikamate kigali!
 
aende tu mwanaume upwaswi kujiotenga... na akamwambie jamaa live sisi tupo nyuma yake.
 
Rais wangu nakupenda na kuamini ila kama unaongoza Jeshi ambalo haliwezi kukulinda basi bora utuambie ili tujue hawajakudhuru kwa kuwa hawajaamua.Kama vyombo vyetu vinauwezo wa kukulinda tafadhali nenda
 
Umenena haswa mkuu.
M7 huwa hatabiriki na PK anajulikana kwa mauaji ya marais, hasa tukikumbuka mauaji ya Kabila na mdege iliyotunguliwa ya kina Habyarimana.
Huyu PK kaahidi kumfanyizia rais wetu!

Halafu kuatana na Kagame ili iweje?

hapo kwenye red ndio nini sasa, akili za kiccm
 
Kama hatuwezi kumpeleka raisi na kurudi salama basi hakuna haja ya kutuniana misuli na hawa watu.Au jeshi letu pamoja na intelgence unity na kikosi maalum cha ulinzi wa Rais vinauwezo wa kupamban na watu wa Mtwara tu.Woga ni umaskini sis ni Taifa linalojimudu kiulinzi ndio maana tupo Kongo,Lebanoni,Sudan nk
 
Duh. Marais wetu wanatumiwa invite over the weekend na wanategemewa kuhudhuria mkutano Thursday?

Hata mimi, a self confirmed part-time hermit, naweza kupata engagements zinazohitaji two weeks notice. Seuze rais?

What's wrong with these people?
 
Back
Top Bottom