kama wewe si critical thinker huwezi nielewa huwa siongei uongo no matter how harsh i might sound shughulisha ubongo wako na utajua msimamo na fikra zangu ziko wapi, asante kwa maoni yako lakini!
kwa taarifa yako nina followers wengi ambao wanafuatilia mchanganuo wangu wa hali halisi ya uhusiano Jumuiyani! na wanadiriki kunipongeza! Ila pia nina wachache kama nyie ambao hamjui yanaloendelea hamko waerevu wa hali halisi! Si mbaya siku zote kwenye kundi la watu lazma tofauti ziwapo ila kidiplomasia hawa watu ni wabovu na tanzania imewaacha mbali sana! Hebu anglia Kikwete ametuma rambirambi wa kwanza tena J'mosi na pia Dr Buriani (balozi) ameenda kuchanga damu na amehimiza Watanzania kulipa Upendo kwa choyo, husda na chuki ya serikali ya sasa ya Kenyatta! Kama vile uhusiano uko 100% kawaida! Wapi Wanyarwanda? Wapi Waganda?i always see that in him too, i thought mayb am biased or something
serious he is not "ok":rolleyez:
hahaha! Tanzania of all countries, Somalia is even better, you wait for that "matter of time "the truth Tanzanians are the worse people,