Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
hee! Huyu mama kiboko kavaa kama net vile?
hahaa angekuwa wa kwetu huyu angejishindilia mi kanga na lingine anawekaga pegani sijui la nini...aghhhh..bora hivi yuko maternitt leave ananyonyesha hatumuoni bana
Blackbeauty, jamani nduguzangu jipende who you're, mwaona mwenzenu, I believe hakuna mkorogo wala manywele hayo ya kubandika mnayoita weaving. She is beautiful at her own skin, kujiamini is sexy above all.
mbona wewe umevaaa!!!
beautiful michelle!
beautiful michelle!