BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Hi ifike wakati tuanze kujilinda wenyewe ndugu zanguni
nimeanza kuhofu huu mfululizo wa ndege za atcl kupaki kimoja kwenye mikoa mbaya
pemben kabsa ya uwanja kuonyesha tulikuwepo nahisi ni wakati wa atcl kuamka
sasa na kuanza kufikiria nini kinaendelea
katika pita pita atukusita kusikia vijana yawezekana wanapigwa misumari na kampuni
ya precission..sipendi kuamini lakini haya mambo yapo wana ndugu hata kwenye misiba wa kanumba
jana bibi mmoja ameanguka gafla kutoka angani pemben ya nyumba aliokuwa anakaa kanumba
alipoulizwa akadai amekuja kumchukua waende lagos kutengeneza movie
saaa ya ukombozi ni sasa
nimeanza kuhofu huu mfululizo wa ndege za atcl kupaki kimoja kwenye mikoa mbaya
pemben kabsa ya uwanja kuonyesha tulikuwepo nahisi ni wakati wa atcl kuamka
sasa na kuanza kufikiria nini kinaendelea
katika pita pita atukusita kusikia vijana yawezekana wanapigwa misumari na kampuni
ya precission..sipendi kuamini lakini haya mambo yapo wana ndugu hata kwenye misiba wa kanumba
jana bibi mmoja ameanguka gafla kutoka angani pemben ya nyumba aliokuwa anakaa kanumba
alipoulizwa akadai amekuja kumchukua waende lagos kutengeneza movie
saaa ya ukombozi ni sasa