PrecisionAir waanza kujiharibia jina

Monstgala

JF-Expert Member
Aug 25, 2009
1,079
1,034
Mimi ni mmoja wa abiria tuliokuwa tunaelekea kanda ya ziwa leo hii kwa usafiri wa hawa ndugu zetu waliopata kujitengezea reputation nzuri hapa Tz. Katika hali ya kushangaza tumesimamishwa kwenye queue masaa mawili bila ya huduma huku tukiambia hamna network. Baada ya hapo tumecheck-in alafu tumekaa masaa mengine mawili tukiambiwa ndege imechelewa. Alafu ghafla dada mmoja mhusika katukusanya na kutuambia twende lunch kwa sababu hawana uhakika na ndege hiyo tunayoisubiri.

Wakati tukiwa tunaburuzwa kwenda "lunch" dada yule kaingiza habari nyingine kuwa abiria wa Musoma safari leo hamna. Wakati abiria tukiambizana kulikoni mwenzetu mmoja katudokeza kwamba haka kamchezo kapya sasa kana wiki.

Hitimisho: mpaka sasa tupo hapa (masaa matano) tunasubiri hatma yetu na sio siri PrecisionAir wakiendelea hivi reputation waliyoitengeneza kwa muda mrefu itayeyuka na yale ya Air Tanzania yatajirudia.
 
Wamebweteka hawa, baada ya kuona ATCL iko mortuary. Ole wetu tulionunua hisa zao, wakiendelea hivi itakula kwetu.
 
Duh pole sana rafiki, hako ka mchezo Press on air zamani Precession air wamekaanza siku nyingi zaidi ya mwezi/miwili hivi. Siku moja me nilikuwa miongoni mwa abriria tuliokuwa tunatakiwa kutimka Mza saa9.alasiri lakini tulifika Dar saa 9. usiku. Full kupigwa danadana baadae tukapelekwa kupata midnight dinner LAKAIRO
 
Hivi wale mlio na taarifa za undani - je hisa za Precision Air zinalipa au watu wameingizwa mkenge kama ilivyokuwa kwa Tanzania Oxygen (TOL)?
 
Hivi wale 540 nao huduma zao zikoje?
Au wanakandege kamoja?
 
Shida ni kwamba hatuna usafiri wa anga mbadala tatizo linaanzia hapo, kwa hiyo they can tell you anything and you will have to agree whether u like it or not.
 
Mimi ni mmoja wa abiria tuliokuwa tunaelekea kanda ya ziwa leo hii kwa usafiri wa hawa ndugu zetu waliopata kujitengezea reputation nzuri hapa Tz. Katika hali ya kushangaza tumesimamishwa kwenye queue masaa mawili bila ya huduma huku tukiambia hamna network. Baada ya hapo tumecheck-in alafu tumekaa masaa mengine mawili tukiambiwa ndege imechelewa. Alafu ghafla dada mmoja mhusika katukusanya na kutuambia twende lunch kwa sababu hawana uhakika na ndege hiyo tunayoisubiri.

Wakati tukiwa tunaburuzwa kwenda "lunch" dada yule kaingiza habari nyingine kuwa abiria wa Musoma safari leo hamna. Wakati abiria tukiambizana kulikoni mwenzetu mmoja katudokeza kwamba haka kamchezo kapya sasa kana wiki.

Hitimisho: mpaka sasa tupo hapa (masaa matano) tunasubiri hatma yetu na sio siri PrecisionAir wakiendelea hivi reputation waliyoitengeneza kwa muda mrefu itayeyuka na yale ya Air Tanzania yatajirudia.

Maneno ya wahenga MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI yanajionesha sana waswahili tukifanikiwa kufikia namba moja katika mafanikio kwenye nyanja yoyote (tulio wengi; sio wote).

Hawa Precision wanaona wamekuwa International airline tayari na ndio WAMEWIN=kupuuzia utaratibu na nidhamu iliyowafikisha walipo!

Sijui lini tutajifunza WAGALATIA sisi!
 
Kwangu walishapoteza mda, washanikosesha International flight huku naona.


QUOTE=Mgalanjuka;3793851]Mimi ni mmoja wa abiria tuliokuwa tunaelekea kanda ya ziwa leo hii kwa usafiri wa hawa ndugu zetu waliopata kujitengezea reputation nzuri hapa Tz. Katika hali ya kushangaza tumesimamishwa kwenye queue masaa mawili bila ya huduma huku tukiambia hamna network. Baada ya hapo tumecheck-in alafu tumekaa masaa mengine mawili tukiambiwa ndege imechelewa. Alafu ghafla dada mmoja mhusika katukusanya na kutuambia twende lunch kwa sababu hawana uhakika na ndege hiyo tunayoisubiri.

Wakati tukiwa tunaburuzwa kwenda "lunch" dada yule kaingiza habari nyingine kuwa abiria wa Musoma safari leo hamna. Wakati abiria tukiambizana kulikoni mwenzetu mmoja katudokeza kwamba haka kamchezo kapya sasa kana wiki.

Hitimisho: mpaka sasa tupo hapa (masaa matano) tunasubiri hatma yetu na sio siri PrecisionAir wakiendelea hivi reputation waliyoitengeneza kwa muda mrefu itayeyuka na yale ya Air Tanzania yatajirudia.[/QUOTE]
 
Ni kitu cha kawaida hicho katika usafiri wa anga na ndio maana wana rekodi nzuri ya usalama kazini au ndege yao kuleta mushkeli.Tatizo wabongo mnataka kila kitu asilimia 100% perfect on time wakti siyo kweli.Nchi yetu ni kubwa na shirika hivi sasa linahudumia na abiria waliokuwa ATCL.Tunaosafir na Pression kila mara ni kitu cha bahati mbaya tu hicho.Kwa kuwa wewe unafiri mara moja baada ya miezi sita au mwaka umeona nongwa wakti sisi kila wiki au mwezi mambo yao uwa tambarare tu.
 
Ni kitu cha kawaida hicho katika usafiri wa anga na ndio maana wana rekodi nzuri ya usalama kazini au ndege yao kuleta mushkeli.Tatizo wabongo mnataka kila kitu asilimia 100% perfect on time wakti siyo kweli.Nchi yetu ni kubwa na shirika hivi sasa linahudumia na abiria waliokuwa ATCL.Tunaosafir na Pression kila mara ni kitu cha bahati mbaya tu hicho.Kwa kuwa wewe unafiri mara moja baada ya miezi sita au mwaka umeona nongwa wakti sisi kila wiki au mwezi mambo yao uwa tambarare tu.

Huna haja ya kutumia ID ya kificho, weka kabisa kwamba wewe ni AFISA UHUSIANO WA PRECISION AIR.
Haya, endelea kulinda uoza wenu.
 
Ni kama daladala! Kama imejaa inaondoka kama abiria hawajajaa mnasubiri mpaka wapiga debe wajaze watu.
Hii ndio TZ.
 
Ni kitu cha kawaida hicho katika usafiri wa anga na ndio maana wana rekodi nzuri ya usalama kazini au ndege yao kuleta mushkeli.Tatizo wabongo mnataka kila kitu asilimia 100% perfect on time wakti siyo kweli.Nchi yetu ni kubwa na shirika hivi sasa linahudumia na abiria waliokuwa ATCL.Tunaosafir na Pression kila mara ni kitu cha bahati mbaya tu hicho.Kwa kuwa wewe unafiri mara moja baada ya miezi sita au mwaka umeona nongwa wakti sisi kila wiki au mwezi mambo yao uwa tambarare tu.

Kanga, hakuna sehemu niliyoandika kwamba mimi nasafiri mara moja tu na bahati mbaya sana hunijui hivyo you are totally wrong unapojaribu kunishambulia mimi badala ya hoja iliyopo. Ungenifamu vizuri hizo majigambo za kitoto ungewasubiri wengineo. By the way, kwa kuwa sisi ndio waathirika wa hizi "bahati mbaya" tuna haki zote za kusema ukweli. Kwa taarifa yako tumedokezwa kwamba "all this was already known but they were buying time and find a smooth way to tell us" so bahati mbaya doesn't really fit here.
 
Kanga, hakuna sehemu niliyoandika kwamba mimi nasafiri mara moja tu na bahati mbaya sana hunijui hivyo you are totally wrong unapojaribu kunishambulia mimi badala ya hoja iliyopo. Ungenifamu vizuri hizo majigambo za kitoto ungewasubiri wengineo. By the way, kwa kuwa sisi ndio waathirika wa hizi "bahati mbaya" tuna haki zote za kusema ukweli. Kwa taarifa yako tumedokezwa kwamba "all this was already known but they were buying time and find a smooth way to tell us" so bahati mbaya doesn't really fit here.

Jamani hawa watu kama wameanza kuharibu waambiwe tu, hili shirika lilkuwa la kutegemewa sana hapa Tz lakini kama mipango imeanza kuwa hivi inaogopesha sasa kama huyu ndugu yangu aliyekoseshwa International Flight si ni kipigo balaa! Ila mambo kama haya hata kwa wenzetu yanatokea japo wao wana njia nyingi za kutafuta suluhu chapchap nakumbuka niliwahi ku miss International flight Zurich Switzerland kwa sababu ya delay ya one hour Amsterdam to Zurich lakini nilikuwa handled vizuri sana.
 
Ni kitu cha kawaida hicho katika usafiri wa anga na ndio maana wana rekodi nzuri ya usalama kazini au ndege yao kuleta mushkeli.Tatizo wabongo mnataka kila kitu asilimia 100% perfect on time wakti siyo kweli.Nchi yetu ni kubwa na shirika hivi sasa linahudumia na abiria waliokuwa ATCL.Tunaosafir na Pression kila mara ni kitu cha bahati mbaya tu hicho.Kwa kuwa wewe unafiri mara moja baada ya miezi sita au mwaka umeona nongwa wakti sisi kila wiki au mwezi mambo yao uwa tambarare tu.

nikikujibu nitaambulia ban. Siku hizi huwa naona ni bora nipande green star kuliko precision, nimekuwa muhanga wa precision mara 7 ndani ya miaka 2.5 ukiachilia kupoteza masaa 2 au 3 ndio usiseme. Imekuwa ni utamaduni sasa
 
Back
Top Bottom