Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hizi habari nimesoma somewhere kuwa kuna ajali imetoa Shinyanga maeneo ya Ibadakuli.
Kama kuna maelezo mazuri basi muweke. Nasikia kuwa ni Precision Air na watu kadhaa wamepoteza maisha.
Kama ni kweli basi poleni sana ndugu na jamaa kwa waliopata ajali/kufiwa.
Kama kuna maelezo mazuri basi muweke. Nasikia kuwa ni Precision Air na watu kadhaa wamepoteza maisha.
Kama ni kweli basi poleni sana ndugu na jamaa kwa waliopata ajali/kufiwa.