Kakobe kaisha siku nyingi anakadi yake ya chama cha siasa ndiyo maana anakipigania kweli chama chake tangu aseme umeme hautawaka yalipovunjwa majengo yake kupisha upanuzi wa barabara lakini mungu hajamsikiliza amekuwa na chuki na serikali sana.
Umeme pale kwa ASKOFU KAKOBE mwenge haupiti,PERIOD!!!