PPF wachafuka, agizo la Zitto kwa CAG kukagua 'Group Endowment'; sita wasimamishwa kazi

Status
Not open for further replies.
Mh. Zitto (Mb) na Mh L. Utouh (CAG)Hivi PPF Management wanapovuruga ukaguzi kwa kuwaondoa wafanyakazi ni sahihi? Lengo kuu hapa ni kumuondoa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa PPF mwaka 2008 ambaye ndiye muibuaji wa wizi na ufisadi kwa kukataa kuwalipa wakurugenzi milioni 220 kila mmoja ambayo si stahili zao. Wanajua akiondolewa PPF, CAG atapewa majibu na wao wenyewe.

Kwa hili serikari iliangalie kwa upana wake ili kuokoa huu mfuko. Milioni 520 kwa Mkurugenzi Mkuu kila miaka minne kwa lipi kubwa aliloufanyia mfuko? Ni kiongozi gani hapa nchini mwenye mafao makubwa kama wanayoiba hawa wakurugenzi wa PPF. Nasema wanaiba kwa sababu wao haki yao gratuity tu.

Kwa Mkurugenzi Mkuu alistahili Milioni 132 za Gratuity lakini kwa kutumia madaraka akavuta Mil 520 za GES plus Mil 132 za gratuity jumla karibu Mil 652. Hii ni sahihi? Wafanyakazi wakihoji, wanasimamishwa kazi kwa kutishia wengine wasijitokeze.Rais J kikwete, hebu ingilia kati uuokoe huu mfuko.

Nchi hii ni kizungu mkuti kweli kweli kwani kwani kwa wanajaribu kwazimba midomo na kuweka vitisho kwa staff kwa kuwatolea mfano wa suspend wale staff 6 ambao wanatumia guess work au ushahidi wa kubambika/kuokoteza sina shaka pale PPF kuna tatizo la professionalism kwani kitengo cha IT ni kuanzia Mkurugenzi mpaka it technician wote vilaza kwani wameshindwa kumsaidia Asia na team yake kumwambia kuwa huu ushahidi wa kupika utatukoea puani sasa Rob sina shaka ana mtindio wa ubongo u cannot allow such guess work evidence and even naming some-1 rasjah when I heard about I laugh and laugh and said can u caught a ghost or shadow? That is how rasjah is all about, none of u can dare to see rasjah once u do u furnish like dust but he survives n stationed in Kingstone. By the way can u see God by necked eyes or touch him.

Taifa la JK lazima litoe maamuzi ya haraka kwa kuliokoa shirika kwani sasa huyu jamaa Erio bila ya kuongopa mujomba wake Mukapa kwamba au kumuonea aibu ya kwamba ikiwa watamtoa basi watamwangusha ila watakuwa wanamsaidia kwa kumuelemisha huyu jamaa ajue jinsi ya kuwa kiongozi aliye na maadili na sio kuwa kivuli cha kiongozi ambaye amejaa majungu, uongozi mbovu, uzinzi, na visasi sina shaka hakuna mtu alikuwa anadhania kuwa UK, London inaweza ikatawaliwa na riots ambazo zinatokana uonevu, dhuruma na ubaguzi wa rangi.

Kwa hivi sasa Management ya PPF wanajaribu au tayari wameanza ku-lobby ilinao wawe katika ajira isiyo na kikomo yaani Unspecified period of employment wakati hapo awali walikuwa katika ajira ya mkataba na wakavuta endowment na kwa kuwa wanaona kuwa wakiwa ktk ajira ya kudumu wata-qualify tena kwenye endowment sasa hii nchi viongozi tunao kweli na hii board of trustees inafanya kazi kweli tatizo board ya sasa inaongozwa na mtu ambaye anajaa sana VC Dr Kapalata ambaye kwa mbinu ya erio alihakikisha wale ambao hawakuwa royal kwake aliwatoa wote kwakumushawishi Mkulo na kubaki na kapalata ambaye alikuwa royal tangu hapo awali na hii inatokana na njaa za huyo mzee hana kazi za maana za kumletea kipato ni rahisi kununuliwa na wana-bodi wengi sina ufahamu wao kama nao wana-integrity.

Kamati ya Zitto na CAG sina shaka nao wamepata mlungula ndio maana wamekaa kimya kwani huyu jamaa Asia yuko sharp kutanguliza pesa mambo akiona yanakuwa hot. Lakini cha ajabu nimeshangaa sana kuona hata SSRA, Irene Isaka alisifia shirika la PPF kuwa eti lina formula nzuri ikilinganishwa na mashirika mengine kauli hiyo alitoa katika sherehe ya kukabidhi zawadi wafanyakazi bora wa PPF wakati yeye alikuwa mgeni rasmi, swali linakuja kweli huyu dada Irene, badala ya kuwa na hoja ya kulipongeza shirika kwa mapungufu iliyonayo anaanza kujikomba sasa inamaana hata yenye tayari alipelekewa bahasha kweli pesa ni sabuni ya roho.

Hofu yangu kwa huyu SSRA CEo issue ya formula ni chronic problem for all social security institutions na solution ni ku-harmonize formula ya mashirika yote na kuwa na formula moja na wao watakuwa wanapata members kwa kutoa service and product ambazo ni competitive na attractive. Leo hii huyu dada anasema PPF fomula nzuri wakati yeye mwenyewe alikuwa Manager wa Investment na alikimbilia Stanbic bank kumkimbia Erio.

Sina shaka job descriptions ya SSRA huyu dada haiju kabisa kwani anatakiwa kuwa UNBIASED na kuwa neutral na kuwa kiuongo kati ya SERIKALI na MIFUKO period vionginevyo haya mashirika LAZIMA yaunganishwe na kuwa mashirika mawili tu kuondoa utiti wa mashirika ambao functions na missions yake ni moja nayo ni ku-register, collect na invest revenues to rise more income for members to serve at any point of calamity, oldness and so forth.

Ushauri wangu kwa serikali kwamba NSSF, ZSSF na PPF yaungane na kuwa shirika moja, na pili lichukue PSPF, GEPF na LAPF. NHIF halina tija kwani kazi zake nyingi zinafanya na AAR, Hospitals, dispensaries and health insurances nyingine. ZEnu huyu dada atafanikiwa kuyasimamia haya mashirika.
 
Eye 4 eye!

Ninaomba ajira ya Julius KAM Mganga wa PPF ambaye ni DCHMA na idara husika kwani mwajiri wake wa Kapital Market mpaka leo hajapa recommendation letter pale Kapital Market alikuwa hapewi hata kazi akiwa kama Manager sasa vyombo husika upate wa vetting huyu jamaa ilikuwaje post kubwa ya ukurugenzi awe cleared kirahisi hivyo ndio maaana pale PPF amekuwa poor advise katika masuala ya welfare za wafanyakazi kwani hivi sasa amewafukuza wafanyakazi watatu kwa ushahidi wa kupambika sasa siku za Management zimewadia na vyombo husika umefika muda kutoa maamuzi ya kuliokoa kwa kuanzia na Mganga kwa kubadilisha ajira yake kwani batili hana sifa kuwa mwajiriwa PPF na Erio lazima awajibishwe na ngazi husika kwa kung'atuka na kupisha uchunguzi kwa uongozi mbovu, uzinzi, wizi na uhujumu uchimi kwa kuvuja pesa za wanachama huu ndio ujumbe kwa sirikali.

Lakini Erio utaumbuka mbele ya vyombo vya sheria kwani mahakama itashangaa vigezo ulivyotumia kuwachisha kazi sasa utalipa fidia kubwa sana na kulitia hasara shirika la PPf.
 
Wewe nawe unaboa, cant you get over na Erio? Kila uchao mzinzi sijui nini.... Alie msafi aanze kutupa jiwe!
 
Muhongo mchungu!

Unajua eddie hii thread inazungumzia issues za PPF na in-charge wa PPF ni CEO ambaye huwa anabeba mzigo wa shirika na kama akiwa leader mzuri basi watu watamsifia kwa mazuri yake na kama ni mpumbavu basi watu wata-comment katika kiwango cha upumbavu wake na siyo vinginevyo. Sasa unapozungumzia masuala ya USA au TZ basi lazima uanze na Rais wa nchi hiyo mfano when u talk about TZ basi lazima uanze na JK. Sasa wewe kama huna comments lazima basi uwe mkimiya na usipende kukosoa watu bila kujua nini kinaendelea na kama umepewa hongo basi kula kimya kimya.

Siku zote jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, na kama wewe ni genuine basi jaribu kuwa wise rather than mjaluko!
 
Eye 4 an Eye!

U know Erio umeamwamusha Ghost toka usingizini kwani sasa mujomba wako Makapa atajuta kukudumbukiza kazini akijua fika wewe ni kilaza CMA itakutolea nje na utalipa mapesa mengi sana kwa hao jamaa watatu.

Sasa mikosi na laana za watu zinakuandama sana na hii trela tu. Ijumaa huyu jamaa akitoa Dodoma walipofika Morogoro kupitia dereva Sallu (pimbi) wake wamesababisha ajali mbaya sana na kuua mpita njia ambaye alikufa papo hapo. Lakini ajabu huyu hii kesi imefukiwa kwani inasemekana familia imepewa Mil 10 na Polisi Moro Mil 5 ilikulimaliza hili suala bila kwenda mahakama sasa swali huyu jamaa anaogopa nini kwenda mahakamani na kukili kuwa tume-tenda kosa na kulipa faini ya kiasi kidogo kwa mujibu wa sheria. Wadau, JF na Mwanakijiji naomba mfuatilie hii habari kwa undani zaidi.

Vyombo husika lazima mfanye iundwe tume maalumu na hatua kali zichukuliwe haraka mfano timu ya RPC-moro, PCCB-moro, usalama wa taifa na wakereketwa wengi lazima haki itendeke. Sasa Willy lazima hata kivuli chako ukiogope kwani mengi mabaya yanakuja kwani lazima hata mke umuogope na shuka na pilo lako linawekukukapa.

Sooh hili lazima liende mahakama na wale wote waliopokea hiyo rushwa wawajibishwe! Na asia aka Erio huu ni mwanzo tu mikosi bado zigo kubwa linakuja yakhe tafuta wabebaji!
 
hivi afanyweje ili ajirekebishe?

Ras Jah umepotea kimya!!!

Umemponza mtu wewe pale PPF.


Eye 4 an Eye!

U know Erio umeamwamusha Ghost toka usingizini kwani sasa mujomba wako Makapa atajuta kukudumbukiza kazini akijua fika wewe ni kilaza CMA itakutolea nje na utalipa mapesa mengi sana kwa hao jamaa watatu.

Sasa mikosi na laana za watu zinakuandama sana na hii trela tu. Ijumaa huyu jamaa akitoa Dodoma walipofika Morogoro kupitia dereva Sallu (pimbi) wake wamesababisha ajali mbaya sana na kuua mpita njia ambaye alikufa papo hapo. Lakini ajabu huyu hii kesi imefukiwa kwani inasemekana familia imepewa Mil 10 na Polisi Moro Mil 5 ilikulimaliza hili suala bila kwenda mahakama sasa swali huyu jamaa anaogopa nini kwenda mahakamani na kukili kuwa tume-tenda kosa na kulipa faini ya kiasi kidogo kwa mujibu wa sheria. Wadau, JF na Mwanakijiji naomba mfuatilie hii habari kwa undani zaidi.

Vyombo husika lazima mfanye iundwe tume maalumu na hatua kali zichukuliwe haraka mfano timu ya RPC-moro, PCCB-moro, usalama wa taifa na wakereketwa wengi lazima haki itendeke. Sasa Willy lazima hata kivuli chako ukiogope kwani mengi mabaya yanakuja kwani lazima hata mke umuogope na shuka na pilo lako linawekukukapa.

Sooh hili lazima liende mahakama na wale wote waliopokea hiyo rushwa wawajibishwe! Na asia aka Erio huu ni mwanzo tu mikosi bado zigo kubwa linakuja yakhe tafuta wabebaji!
 
Mh. Bujibuji,

Usemi wa hakuna awali mbovu una walakini, umeona ya mattaka?

Alipokuwa PPF aliiba kisawasawa, alinunua viwanja kwa bei juu na malipo yalikuwa yakifanywa mara mbili. Cheki kwa ajiri ya Mattaka ilikuwa inakuwa open, anapewa cashier Hasna Kungulilo kwenda Bank na mwenye kiwanja. Akisha chukua na kuzikabidhi kwa Mattaka ndipo hupewa cheki yake ya uhalari. Alihofia mtu akipewa yote angetokomea. Mattaka ndiye aliyemharibu hata DG wa sasa. Hasa baada ya kuteuliwa kuwa CEO wa ATCL. Kabla ya hapo kila mtu alikuwa anamkwepa PCCB wasimhusisha naye.



PPF imevamiwa, bora enzi za Mataka
 
Mh. Bujibuji,

Usemi wa hakuna awali mbovu una walakini, umeona ya mattaka?

Alipokuwa PPF aliiba kisawasawa, alinunua viwanja kwa bei juu na malipo yalikuwa yakifanywa mara mbili. Cheki kwa ajiri ya Mattaka ilikuwa inakuwa open, anapewa cashier Hasna Kungulilo kwenda Bank na mwenye kiwanja. Akisha chukua na kuzikabidhi kwa Mattaka ndipo hupewa cheki yake ya uhalari. Alihofia mtu akipewa yote angetokomea. Mattaka ndiye aliyemharibu hata DG wa sasa. Hasa baada ya kuteuliwa kuwa CEO wa ATCL. Kabla ya hapo kila mtu alikuwa anamkwepa PCCB wasimhusisha naye.

Hapo kwenye red: kamharibu kivipi? Na DG wa sasa aliajiriwa wakati mataka yupo?
 
Tatizo la ufisadi ndani ya PPF limechukua sura mpya na mbaya.

Miezi ya January hadi March, kulikuwa na mjadala mrefu sana hapa jamvini juu ya tabia mbaya za uongozi wa PPF wa kutumia madaraka vibaya.

Tuhuma zilizo anikwa hapa ni pamoja na;

1. Wakurugenzi kujilipa zaidi shilingi milioni 220 kila mmoja za Group Endowment (GES) ambayo sio stahili yao mwaka 2008 na kurudia kujilipa tena mwaka huu mwezi wa tatu kiasi hicho hicho tena. Kwa utaratibu wa PPF kama mwajili, wafanyakazi wa mikataba hulipwa GRATUITY TU na imekuwa miaka yote na wafanyakazi wa kudumu wanapostaafu au kufa hulipwa group endowment. Cha kusikitisha na kwa kutumia madaraka vibaya, wakaamua na hiyo GES wajilipe walipo maliza mkataba. Mhasibu Mkuu wa PPF akakataa kuwa sio sahihi, wafanyakazi wakachachamaa kuzuia lakini wapi, wakachukua mwaka 2008 na wamelipwa tena 2011 licha ya kamati ya fedha ya Bunge kuzuia.

2. Mwaka 2010, Mkurugenzi Mkuu wa sasa baada ya kumaliza miaka mitatu akalipwa GES isivyo halali Milioni 520, hizi ni nje ya 25% ya mishahara yake kwa kipindi cha mkataba kama gratuity, na ni nje ya 15% anayochangiwa kwenye pension na PPF amabyo nayo ni kinyume na waraka wa Wizara ya utumishi unaokataza watumishi wa umma wanaolipwa gratuity kuchangiwa tena na mwajili michango ya pension

3. Mkurugenzi wa Fedha na Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani kujichukulia viwanja vya PPF Bahari Beach vilivyonunuliwa mwaka 1996 kwa milioni 56 lakini wao wakavichukua kwa milioni 16 tu mwaka 2004 kwa kisingizio kuwa vinalitia hasara shirika.

4. Uzinzi ndani ya mfuko uliokithiri. Mkurugenzi Mkuu akiongoza kwa ngono na wafanyakazi ( vibinti vidogo vilivyoajiliwa kama vibarua), Mkurugenzi wa utawala na Mkaguzi wa ndani wakimfuatia.

5. Uizi kupitia miradi ya uwekezaji, hasa ule wa Bunge na wa UDOM ( vyote vimeanza kuvuja na nyufa mmeziona)

6. Unyanyasaji wa wafanyakazi wenye msimamo tofauti nao hasa wakipinga udokozi na uzinzi.

YALIYOTOKEA BAADA YA MJADALA/

1. Kamati ya ZITTO ikaagiza CAG akague utata wa malipo ya GES toka 2008. Magazeti yakaandika ufisadi huo na Mh. Mwanakijiji akamaliza kwa ripoti yake aliyoiweka humu JF

2. Uongozi wa PPF ukaanza vitisho kwa wafanyakazi hasa wale wanaodhaniwa kuwa ndio waliotoa siri hiyo nje. Wakawanyang'anya computer zao, wakazuia mtandao wa internet ndani ya PPF

3. Baadhi wakahojiwa na polisi

KUSIMAMISHWA KAZI.

Ijumaa iliyopita, uongozi wa PPF umewasimamisha kazi wale wote ambao computer zao zilinyang'anywa kwa tuhuma za;

a. Kuhisiwa kushiriki kwenye mijadara ya JAMII FORUMS
b. Kuhisiwa kutoa taarifa kwenye magazeti
c.Kupanga mapinduzi ya kuupindua uongozi wa PPF (?????????)
d. Kuhujumu mfuko eti wanazuia wanachama wasijiunge na PPF

Hivi niandikapo, LANDCRUISER VX, ya PPF imekwenda Mbeya na kumbeba staff mmoja ili kumpelekea barua aliyekuwa Mhasibu Mkuu aliyegoma kuwalipa GES.

WANA JF, WATANZANIA NA WAHESHIMIWA WABUNGE

1. Kamati ya Bunge imeagiza ukaguzi ufanyike, leo mtu mwenye taarifa muhimu za huu ufisadi anasimamishwa kazi ili wakaguzi wakija wao waliodokoa ndio watoe majibu.

Zitto na Kamati yake wanasemaje kuhusu hili?

CAG anakubali upuuzi huu?

2. Hivi katika hali ya uchumi wa nchi hii na mafao kidogo yanayotolewa na PPF, ni sahihi kupeleka barua moja tu kwa VX landcruser na kwalipa allowance dereva na mbeba barua? HII NAYO NI KASHFA. DG ajieleze VALUE FOR MONEY IKO WAPI? Mwezi March walifanya hivi hivi kwenda kumnyang'anya computer.


Haya tunawasaidiaje hata kama sio wana JF,

Mwanakijiji na Zitto Kabwe hebu liangalieni

Jamani mimi nawaambia sina imani na serikali hata chembe Chief Accountant wa PPF aliyepo kwa sasa ana bonge la nyumba karibia na bahari huko kijichi ndo anamalizia finishing gharama yake yakadiriwa kuwa milioni 900 jamaa anaitwa Luchunga Gambamala ukimwona utashangaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom