Poverty Elimination in Tanzania is a 'Result Oriented Business'

The thread is about result orientation, but as yet I haven’t encountered a post that highlights what exactly needs to be aimed or what are our priorities or how do we even measure success if we are after results. In a country where there are multiple-deprivation where do you start, with what resource, targeting whom and the benefits of those results nationally and towards a better economical prospects.

Even the millennium goal had clear guidelines and targets on what will be considered success or failure. A part from point eight of the ‘millennium goals’ which is pretty much an IMF hands on directive and aims to plunder our resources. The rest had clear explanations of what they aim to achieve, targets sated through ratios and percentages.

If we are to fail on these targets or get poor results our administration is entirely to blame and not the external factors, for instance if more women were required to be empowered and participate in our democracy houses; it’s not the IMF that told us to select women MP’s by allegiance instead of what they stood for in the society and their abilities to fight for their stances, it is not the IMF that told us to build school without enough teachers or offer our student second class curriculum.

On the outset it appears there are no serious ambitions from the current administration to fight poverty or drawing up a serious escape route from our woes. For instance if you look at the employment sector the major employees are the government and service sectors considering our manufacturing is almost none existence it means the economy is losing the income of these people by our love of importation and creating huge unemployment in the nation.

At the same time the government is having to spend much of the budget in administration wages, therefore where is the money to invest in manufacturing going to come from or how is the government long term strategy in tackling the problem. No wonder there is no talk in this administration apart from external investors.

We are stuck in the economy which is deprived of an efficient manufacturing industry (to tackle unemployment, a small purchasing power, low productivity, etc), poor welfare services (as less funds are collected in taxes the government is unable to offer quality health care and people are having to make do-s in poor housings, etc), a desperate population in poverty (with no jobs, untrained and lacking skills for employment no wonder we are importing labor) and a weak agricultural system due to poor demands in raw material from our economy.

Therefore if we want to see results first we have got to have a clear sense of direction by drawing up an economical plan that aim to tackle the main four problems by stages, open up a gate for a pluralism society and functional pressure bodies to fight the courses on behalf of groups interests, get the ministries checked, and a collaborations between ministries and responsible bodies in coining up policies. There after we know exactly where to point the finger if things ever go wrong, of course none of that is possible if we can’t make people accounted for their mistakes.
 
Matatizo ya kutokuwa na matokeo au kifikia matokeo yanaanza na mapungufu ya dira. Ukipanga dira ambayo haiwezekani na haieleweki, ni wazi kuwa watendaji watapoteza dira hiyo.

Hivyo inawezekana kupotea kwa dira yetu imetokana na dira yenyewe kutokuwa realistic. Hivyo hili watanzania waweze kufanikiwa ni lazima wajue kupanga vitu vinavyowezekana. Na hili ni moja ya matatizo letu.

Inasemekana think tank ya Tanzania-Tume ya mipango wana sera bora sana na mikakati ya kufa mtu ambayo hata Marekani wanaweza itolea mate. Mingine tunaiona kama mikakati ya kilimo kwanza, mkurabita, SME Policy, etc. Haya mambo kama yangesimamiwa kwa ufasaha yangetoa result nzuri kabisa.

Unapozungumzia dira nadhani unazungumzia vision-what we want to be in the future. Ni wazi unapokuwa na sera nzuri, dira yake inasomeka pia. Tatizo sio sera wala dira bali implementation of policies, maintenance and poor short and long term planning which would have lead to result oriented.

Juzi kati palikuwa na mradi wa kutandaza mabomba ya maji hapa dar, maarufu kama maji ya wachina. Ni wazi kuwa ile ni sera ya maji, na dira yake ni kuona wakazi wa dar hawasumbuki tena na maji kwa sasa na baadae. Zunguka sasa huko mabomba yalipotandazwa. Kila nyumba ina mita lakini hakuna tena maji japo yalitoka kama mwezi hivi. Maji hayatoki tena, mabomba yameng'olewa, hakuna wa kufuatilia kwa nini mabomba yameng'olewa, wala hakuna aliyewajibishwa. Tatizo hapa unaona ni implementation, maintenance and poor planning, japo mkakati ulikuwa mzuri na dira ilionekana
 
Mkandara na Ogah,

Inawezekana tunakosana kwenye misamihati ya kiswahili. Dira niliichukulia kama VISION ya kiongozi. Na sera kama policy.

Kwa sasa hivi Dira kama Vision ya viongozi haitufahi kwani maendeleo ya kidunia, ya nchi, ya kijamii yana variables nyingi. Tanzania haiwezi kufuata mwelekeo mmoja wakati mambo yanabadilika kwa haraka sana. Hilo ndilo tatizo nililonalo kuhusu Dira.

Tukirudi kwenye Dira kama alivyoeleza Mkandara, nitakubaliana naye. Lakini nisingeita. Dira ningeita "spirit of nation". Mtanzania awe anazaliwa na kukua huku akielewa kuwa anaweza kufanya chochote anachotaka bila kuvunja sheria. Na sheria impe nafasi ya kufanya hivyo.

Sera na utendaji wa serikali zinajenga spirit of nation. Kwa mfano utapeli wa waNigeria unatokana na kuwa serikali za kijeshi. Watanzania kupenda kuzungumza siasa inatoka na siasa zetu za miaka ya nyuma.

Tukitaka kuwa na wataalamu wanaochagua na kupenda shughuli zao au wajasiliamali, kinachotakiwa ni kubadilisha tu sera na katiba za nchi.

Nafikiri kitu kama hicho "spirit of nation" ... "dira ya yaifa" ... "Mwelekeo wa kitaifa" ni lazima kiwepo. Hivi inatofautigani na "The founding Principles/values of the nation" Kwa kifupi sidhani kuwa taifa linaweza kuwepo tuuuu!!! Bila kitu kama MWELEKEO WA KITAIFA / THAMANI ZA KITAIFA NK!
 
Mkandara, Ogah:

Kwa hiyo Nyerere aliposema kuwa Tanzania inakabiliwa na matatizo matatu: Maradhi, Umasikini na Ujinga, tayari alitangaza DIRA za nchi? Kwa maoni yangu hayo yalikuwa mawazo yake binafsi.

Inawezekana vilevile yasiwe mawazo yake. Inawezekana yalikuwa ni mawazo ya benki ya dunia. Kwani katika sera za benki hiyo za 1968 zilisema kuwa ukiwasaidia watu wa nchi masikini kuondoa maradhi na umasikini basi watu watapata nguvu za kuondoa umasikini.

Na moja ya nchi iliyokuwa beneficiaries wa sera hizo za benki ya dunia ilikuwa Tanzania. Na matokeo yake tunatumia sana rasimali za kutoka nje kufuta ujinga na maradhi hili tuondoe umasikini.

Hivyo sioni ushujaa wowote wa kukataa masharti ya World Bank, na IMF wakati tuliwategemea katika shughuli za mwanzo za huduma za jamii na maendeleo.

Huwezi kuwa na unsustainable model ya maendeleo na baadaye unakuwa m-bishi wakati huna bargaining chip.

Na hili suala la kuwaita watanzania wajinga naona imefika kipindi tuliache. Haya ni matusi ya rejareja. Tuna mapungufu ya skills ambazo hazipatikani kwenye mazingira yetu.
Aaaah! bado kuu wangu mbona umeruka kojo ukakanyaga kimba....Malengo ya Nyerere yalikuwa kuodokana na waadui watatu lakini tulijua fika tunalijenga Taifa la UJAMAA na KUJITEGEMEA na tulielekea huko hata kwa kukosea ama ilikuwa safari isiyofikika kutokana na meli tuliyokuwa nayo. Hii ya kundoa maadui 8 leo ndio inaonekana kama ndio dira yetu mkuu wakati hizi ni mikakati tu ya kimalengo kuyaondoa. Pengine sijielezi vizuri ukanielewa?

Labda umesahau huko nyuma nimesema wazi kwamba leo tunasema tunajenga nchi ya Demokrasia na Ujamaa (dira), lakini hii sio dira wala haiwezi kuwa dira hata kidogo, kwa sababu Demokrasia ni mfumo wa serikali dhidi ya Usultani, Uking au Udikteta, ni nyenzo ya kuwapa wananchi supreme power, wakaitumia wao ama watu waliowachagua. Hivyo haiwezi kuwa Dira kwa sababu haiwezi ku deal na policies za nchi ktk kiuchumi wala kisiasa maana huwezi sema government by the people (demokrasia) wakati kikatiba supreme power imekuwa vested kwa President kikatiba vile vile. Pia huwezi jenga Ujamaa wakati kikatiba mmoja mmoja na makundi yanaruhusiwa.

Kifupi mkuu wangu kutokana na kutokuwa na Dira ndio maana tunatumiwa kama machinga, nimepitia maisha hayo ya kuuza mali za watu wengine ukityegemea kukatiwa chako na kila siku ukiomba Mungu one day YES!.. we need to have a plan ambayo itatokana na sisi Saudi Arabia walisubiri miaka 35, mafuta yao yakiwa chini ya Waingereza na wamerakani lakini walijua watakuwa Taifa tajiri wawakisha chukua mafuta yao kutokana na misingi waliyoiweka toka mwanzo, hivyo hivyo kwa nchi zote za kiarabu walipoteza miaka mingi wakisubiri wakati huu na walikuwa maskini sana tena naweza sema zaidi yetu lakini walijua kuna mwisho huu kuhodhi utajiri huo kutokana na mikataba waliyoiweka. Sisi ndio kwanza tumegawa madini yetu wachimbe hadi yatakapo kwisha kwa kukubali ruzuku na tax cut kuendesha serikali, sasa tunapofanya hivi tunategemnea kujenga kitu gani haswa au tupate fedha za matumizi tu.. Huu kama sii umachinga kitu gani.
 
Gaijin,

Haya matatizo yanatokea sehemu mbalimbali. Hili kupunguza matatizo kama haya wenzetu wanazo quality assurance methodologies. Na Tanzania inapoteza sehemu kubwa ya mapato yake katika masuala ya quality. Mtu anakwenda kukodisha ndege itakayotumika kibiashara na shirika la ndege anachukua ndege ambazo hazina quality yoyote.

Vilevile suala hili lipo kwenye mikataba ya kisheria. Ni lazima tujenge utamaduni wa kuweka mikataba mizuri ya kisheria. Na lazima tufuatilie mikataba hiyo. Kwa mfano, serikali ilipotoa tenda kwa Richmond, basi pale Richmond iliposhindwa kutimiza wajibu wake, ilitakiwa Richmond ianze kuilipa serikali kwa kuchelewesha mkataba. Lakini inavyooneka Richmond ni mshindi.

Ni Result Oriented individuals wanaoweza kufuatilia quality assuarance na mikataba ya kisheria.


.....Mkuu Zakumi haya yote yanasababishwa na kutokuwa na utawala wa sheria. Mtu anaenda kusign mkataba mkubwa wa nchi anatia mfukoni 90% yake na kukodisha kitu kibovu kabisa ambacho hakistahili kukodishwa au kutia sign mkataba ambao hauna maslahi yoyote na nchi (Management contract ya wale makaburu wa Net Group Solutions, Mkataba wa Rada, Richmond, TRC n.k.) anafanya hivyo huku akijua hata kukiwa na ushahidi wa kutosha kabisa hatafanywa lolote ataendelea kupeta tu na mabilioni yake (Akina Rostam Aziz, Mzee wa Vijisenti na wahusika wengine wa EPA, Rada, Richmond, Ndege ya Rais, IPTL n.k.)

Tungekuwa na utawala wa sheria hawa wahusika wote wangekuwa jela kwa kifungo cha miaka mingi na pia wangefilisiwa mali zao zote. Bila kuwa na utawala wa sheria madudu ya Richmond, IPTL, Rada, EPA, mikataba ya rasilimali zetu yataendelea kuwepo kila mwaka na pesa nyingi ambazo zingeweza kutumika kutuletea Watanzania maendeleo ya haraka na ya hali ya juu zitaishia mifukoni mwa wajanja wachache na huku wakiendelea kukingiana vifua ili wasipandishwe kizimbani na hata wakipandishwa watatoa rushwa huku na kule ili kushinda kesi zao. Juzi juzi yule msanii Kikwete alimpongeza Mkurugenzi wa TAKUKURU na taasisi yake eti kwa "kazi nzuri" sijui ni kazi nzuri ipi waliyoifanya tangu Kikwete aingie madarakani 2005!!! Ni UOZO MTUPU!!!! Bila utawala wa sheria tusahau kabisa kuhusu maendeleo katika nchi yetu.
 
The thread is about result orientation, but as yet I haven’t encountered a post that highlights what exactly needs to be aimed or what are our priorities or how do we even measure success if we are after results. In a country where there are multiple-deprivation where do you start, with what resource, targeting whom and the benefits of those results nationally and towards a better economical prospects.

Even the millennium goal had clear guidelines and targets on what will be considered success or failure. A part from point eight of the ‘millennium goals’ which is pretty much an IMF hands on directive and aims to plunder our resources. The rest had clear explanations of what they aim to achieve, targets sated through ratios and percentages.

If we are to fail on these targets or get poor results our administration is entirely to blame and not the external factors, for instance if more women were required to be empowered and participate in our democracy houses; it’s not the IMF that told us to select women MP’s by allegiance instead of what they stood for in the society and their abilities to fight for their stances, it is not the IMF that told us to build school without enough teachers or offer our student second class curriculum.

On the outset it appears there are no serious ambitions from the current administration to fight poverty or drawing up a serious escape route from our woes. For instance if you look at the employment sector the major employees are the government and service sectors considering our manufacturing is almost none existence it means the economy is losing the income of these people by our love of importation and creating huge unemployment in the nation.

At the same time the government is having to spend much of the budget in administration wages, therefore where is the money to invest in manufacturing going to come from or how is the government long term strategy in tackling the problem. No wonder there is no talk in this administration apart from external investors.

We are stuck in the economy which is deprived of an efficient manufacturing industry (to tackle unemployment, a small purchasing power, low productivity, etc), poor welfare services (as less funds are collected in taxes the government is unable to offer quality health care and people are having to make do-s in poor housings, etc), a desperate population in poverty (with no jobs, untrained and lacking skills for employment no wonder we are importing labor) and a weak agricultural system due to poor demands in raw material from our economy.

Therefore if we want to see results first we have got to have a clear sense of direction by drawing up an economical plan that aim to tackle the main four problems by stages, open up a gate for a pluralism society and functional pressure bodies to fight the courses on behalf of groups interests, get the ministries checked, and a collaborations between ministries and responsible bodies in coining up policies. There after we know exactly where to point the finger if things ever go wrong, of course none of that is possible if we can’t make people accounted for their mistakes.

Eric The Cart:

Uliyoeleza ndio kile nilichokuwa nataka. Katika kipindi cha sasa na baada ya kufanya majaribio mbalimbali, tulitakiwa tuwe na uwezo wa kupanga vile vinavyowezekana, kuvitekeleza, na kuvimudu kuviendeleza kwa vizazi vingi vijavyo. Lakini kama ulivyo mjadala huu na mingine, tunajaribu kutumia mbinu zilezile, watu walewale, utamaduni wa kiutendaji hulehule na kutengemea kuwa mambo yanaweza kubadilika.

Watu wengi wanafikiri na kutegemea kuwa mipango ya sasa ya serikali inaweza kufanikiwa iwapo viongozi watakuwa watakatifu na waadilifu. Kuna ukweli ndani yake. Lakini hata mwadilifu akisimamia mipango mibovu, matokeo ya mipango yake itakuwa mibovu.

Mfano mkubwa ni utekelezaji wa sekta ya elimu. Kama ulivyosema hapo juu, serikali ni mwajiri mkubwa na sehemu kubwa ya wafanyakazi wa serikali au wanaotegemea mishahara kutoka serikalini ni waalimu. Pamoja na ukubwa wa sekta hii, matokeo kwa taifa sio mazuri.

Ningefurahi kama tungejadili sekta kama hii na kuweza kuangalia wapi tumekosea na jinsi gani tungeweza kuboresha kwa kutumia uzoefu wetu au kuiga kutoka kwa wenzetu. Vilevile best practices katika sekta moja, zinaweza kutumika katika sekta zingine.
 
Nafikiri kitu kama hicho "spirit of nation" ... "dira ya yaifa" ... "Mwelekeo wa kitaifa" ni lazima kiwepo. Hivi inatofautigani na "The founding Principles/values of the nation" Kwa kifupi sidhani kuwa taifa linaweza kuwepo tuuuu!!! Bila kitu kama MWELEKEO WA KITAIFA / THAMANI ZA KITAIFA NK!

Kila taifa lina common values. Zinaweza kuwa za kijiografia kama vile sharing water resources, boarders, ethnicity, language, religion etc

Watanzania hata kabla ya uhuru we have shared a lot of things in common na kinachotakiwa ni good policies to move the country forward.
 
Kila taifa lina common values. Zinaweza kuwa za kijiografia kama vile sharing water resources, boarders, ethnicity, language, religion etc

Watanzania hata kabla ya uhuru we have shared a lot of things in common na kinachotakiwa ni good policies to move the country forward.
Mkuu labda nikuulize hivi, unakumbuka sababu ya kuandikwa kwa katiba ya Marekani?. Kulitokea vitu gani hadi katiba mpya ikaundwa. Je, sisi tunaunda katiba mpya kutokana na kero au makosa gani na haya yameorodhoshwa ama kukubalkika vipi kwanza mbele ya kuunda katiba mpya. Na hayo yatatusaidi kujenga Taifa la aina gani? Hii ndio maana ya Dira yaani unatazama matatizo ulokuwa nayo kisha unaanda katiba, mfumo wa kiiutawala, sheria kuelekea kujenga kitu ambacho unakitarajia.

Hata hizo sharing water resources, boarders, ethinic na kadhalika vinatakiwa kuwa na malengo aidha kuyalinda anma kuyabomoa ili upate kitu fulani. Sisi hatuna tunakwenda tu kuunda katiba hatujui tunataka nini na ndio maana tunakusanya kero maana zimekuwa nyingi kiasi kwamba Viongozi wenyewe hawazijui kama ni kero otherwise tusingeanza kukusanya ila tungelenga wapi panatukwaza.
 
Aaaah! bado kuu wangu mbona umeruka kojo ukakanyaga kimba....Malengo ya Nyerere yalikuwa kuodokana na waadui watatu lakini tulijua fika tunalijenga Taifa la UJAMAA na KUJITEGEMEA na tulielekea huko hata kwa kukosea ama ilikuwa safari isiyofikika kutokana na meli tuliyokuwa nayo. Hii ya kundoa maadui 8 leo ndio inaonekana kama ndio dira yetu mkuu wakati hizi ni mikakati tu ya kimalengo kuyaondoa. Pengine sijielezi vizuri ukanielewa?

Labda umesahau huko nyuma nimesema wazi kwamba leo tunasema tunajenga nchi ya Demokrasia na Ujamaa (dira), lakini hii sio dira wala haiwezi kuwa dira hata kidogo, kwa sababu Demokrasia ni mfumo wa serikali dhidi ya Usultani, Uking au Udikteta, ni nyenzo ya kuwapa wananchi supreme power, wakaitumia wao ama watu waliowachagua. Hivyo haiwezi kuwa Dira kwa sababu haiwezi ku deal na policies za nchi ktk kiuchumi wala kisiasa maana huwezi sema government by the people (demokrasia) wakati kikatiba supreme power imekuwa vested kwa President kikatiba vile vile. Pia huwezi jenga Ujamaa wakati kikatiba mmoja mmoja na makundi yanaruhusiwa.

Kifupi mkuu wangu kutokana na kutokuwa na Dira ndio maana tunatumiwa kama machinga, nimepitia maisha hayo ya kuuza mali za watu wengine ukityegemea kukatiwa chako na kila siku ukiomba Mungu one day YES!.. we need to have a plan ambayo itatokana na sisi Saudi Arabia walisubiri miaka 35, mafuta yao yakiwa chini ya Waingereza na wamerakani lakini walijua watakuwa Taifa tajiri wawakisha chukua mafuta yao kutokana na misingi waliyoiweka toka mwanzo, hivyo hivyo kwa nchi zote za kiarabu walipoteza miaka mingi wakisubiri wakati huu na walikuwa maskini sana tena naweza sema zaidi yetu lakini walijua kuna mwisho huu kuhodhi utajiri huo kutokana na mikataba waliyoiweka. Sisi ndio kwanza tumegawa madini yetu wachimbe hadi yatakapo kwisha kwa kukubali ruzuku na tax cut kuendesha serikali, sasa tunapofanya hivi tunategemnea kujenga kitu gani haswa au tupate fedha za matumizi tu.. Huu kama sii umachinga kitu gani.

Mkandara,

Hivi Marekani, uingereza, ujerumani, Singapore, South Korea, Botswana zina dira gani? Na kukosekana kwa dira kunasababisha tuwe na mipango mibaya?

Dira ni navigation instrument inayotumika kuongoza vyombo vya usafiri kutoka sehemu A kwenda sehemu B. Katika uongozaji wa nchi hakuna sehemu B. It's a journey towards unknown destiny, and therefore you have to select the best alternative routes (good policies).
 
Mkuu labda nikuulize hivi, unakumbuka sababu ya kuandikwa kwa katiba ya Marekani?. Kulitokea vitu gani hadi katiba mpya ikaundwa. Je, sisi tunaunda katiba mpya kutokana na kero au makosa gani na haya yameorodhoshwa ama kukubalkika vipi kwanza mbele ya kuunda katiba mpya. Na hayo yatatusaidi kujenga Taifa la aina gani? Hii ndio maana ya Dira yaani unatazama matatizo ulokuwa nayo kisha unaanda katiba, mfumo wa kiiutawala, sheria kuelekea kujenga kitu ambacho unakitarajia.

Hata hizo sharing water resources, boarders, ethinic na kadhalika vinatakiwa kuwa na malengo aidha kuyalinda anma kuyabomoa ili upate kitu fulani. Sisi hatuna tunakwenda tu kuunda katiba hatujui tunataka nini na ndio maana tunakusanya kero maana zimekuwa nyingi kiasi kwamba Viongozi wenyewe hawazijui kama ni kero otherwise tusingeanza kukusanya ila tungelenga wapi panatukwaza.

Sababu ni nyingi. Moja ya sababu hizo ni kuulinda uhuru. Mwingereza aliwalipisha tax lakini hakuwapa uhuru wa kufanya maamuzi. Hivyo hawakutaka mkoloni kutoka nje au mtawala wa ndani kurudia makosa ya mwingereza.

Pili waMarekani waliokuja kutoka Ulaya, walikuja kutafuta uhuru wa kuabudu na kutoa mawazo. Hivyo katiba ikaakikisha kuwa inalinda uhuru wa mtu. Ingawaje uhuru haukupatikana toka mwanzo kwa watu wote, katiba ilitoa.

Tatu watungaji wa katiba walikuwa ni wawakilishi kutoka majimbo mbalimbali. Hivyo mjadala wa katiba ulichukua muda na vilevile kujumlisha mawazo ya watu kutoka jumuia na watu wenye backgrounds tofauti.

Na sababu zingine .............

Kwa Tanzania toka tumepata uhuru, viongozi wanatuchagulia mawazo ambayo wanaona ni bora kwa wananchi. Na wako tayari kupindisha katiba kukidhi mawazo yao.
 
Mkuu labda nikuulize hivi, unakumbuka sababu ya kuandikwa kwa katiba ya Marekani?. Kulitokea vitu gani hadi katiba mpya ikaundwa. Je, sisi tunaunda katiba mpya kutokana na kero au makosa gani na haya yameorodhoshwa ama kukubalkika vipi kwanza mbele ya kuunda katiba mpya. Na hayo yatatusaidi kujenga Taifa la aina gani? Hii ndio maana ya Dira yaani unatazama matatizo ulokuwa nayo kisha unaanda katiba, mfumo wa kiiutawala, sheria kuelekea kujenga kitu ambacho unakitarajia.

Hata hizo sharing water resources, boarders, ethinic na kadhalika vinatakiwa kuwa na malengo aidha kuyalinda anma kuyabomoa ili upate kitu fulani. Sisi hatuna tunakwenda tu kuunda katiba hatujui tunataka nini na ndio maana tunakusanya kero maana zimekuwa nyingi kiasi kwamba Viongozi wenyewe hawazijui kama ni kero otherwise tusingeanza kukusanya ila tungelenga wapi panatukwaza.

Kweli kabisa bila Dira ...Founding Principles, Foundations of the nations, Mwelekeo wa taifa etc na vitu kama hivyo siamaini kama Katiba ina umuhimu wa kutosha. Marekani ina founding principle of the Nation iliyo msingi wa kuunda katiba yao...

Mkandara,

Hivi Marekani, uingereza, ujerumani, Singapore, South Korea, Botswana zina dira gani? Na kukosekana kwa dira kunasababisha tuwe na mipango mibaya?

Dira ni navigation instrument inayotumika kuongoza vyombo vya usafiri kutoka sehemu A kwenda sehemu B. Katika uongozaji wa nchi hakuna sehemu B. It's a journey towards unknown destiny, and therefore you have to select the best alternative routes (good policies).

Bila working standards ya naman fulani ... mwelekeo wa taifa utakuwa vipi?

Sababu ni nyingi. Moja ya sababu hizo ni kuulinda uhuru. Mwingereza aliwalipisha tax lakini hakuwapa uhuru wa kufanya maamuzi. Hivyo hawakutaka mkoloni kutoka nje au mtawala wa ndani kurudia makosa ya mwingereza.

Pili waMarekani waliokuja kutoka Ulaya, walikuja kutafuta uhuru wa kuabudu na kutoa mawazo. Hivyo katiba ikaakikisha kuwa inalinda uhuru wa mtu. Ingawaje uhuru haukupatikana toka mwanzo kwa watu wote, katiba ilitoa.

Tatu watungaji wa katiba walikuwa ni wawakilishi kutoka majimbo mbalimbali. Hivyo mjadala wa katiba ulichukua muda na vilevile kujumlisha mawazo ya watu kutoka jumuia na watu wenye backgrounds tofauti.

Na sababu zingine .............

Kwa Tanzania toka tumepata uhuru, viongozi wanatuchagulia mawazo ambayo wanaona ni bora kwa wananchi. Na wako tayari kupindisha katiba kukidhi mawazo yao.

Nafikiri viogozi wanapata fursa ya kutuchagulia mawazo yao kwani Wananchi hawakujali kuwa na MSIMAMO WA KITAIFA KAMA KANUNI AU DIRA ILIYOKUBALIKA KWA PAMOJA!!
 
Kweli kabisa bila Dira ...Founding Principles, Foundations of the nations, Mwelekeo wa taifa etc na vitu kama hivyo siamaini kama Katiba ina umuhimu wa kutosha. Marekani ina founding principle of the Nation iliyo msingi wa kuunda katiba yao...



Bila working standards ya naman fulani ... mwelekeo wa taifa utakuwa vipi?



Nafikiri viogozi wanapata fursa ya kutuchagulia mawazo yao kwani Wananchi hawakujali kuwa na MSIMAMO WA KITAIFA KAMA KANUNI AU DIRA ILIYOKUBALIKA KWA PAMOJA!!


Azimio Jipya:

Haya mambo ya dira yanaondoa real issue ya kujadiliwa na kutafuta visingizio. Ukienda Tanzania kuna matatizo yanayoonekana na yanayotaka solutions. Sidhani kuwa unahitaji kuwa na dira kuyafanyia kazi.

Vilevile sehemu kubwa ya utamaduni wa mataifa mengi haijaandikwa vitabuni. Ukija Marekani na kuwauliza dira, watakuona umetoka Cuba au North Korea.
 
Ni kweli kwamba tatizo kubwa letu wabongo ni kusolvu matatizo hewani. Mada inataka suluhu ya matatizo lakini wachangiaji wanaleta tena dhana za kufikirika.
 
Eric The Cart:

Uliyoeleza ndio kile nilichokuwa nataka. Katika kipindi cha sasa na baada ya kufanya majaribio mbalimbali, tulitakiwa tuwe na uwezo wa kupanga vile vinavyowezekana, kuvitekeleza, na kuvimudu kuviendeleza kwa vizazi vingi vijavyo. Lakini kama ulivyo mjadala huu na mingine, tunajaribu kutumia mbinu zilezile, watu walewale, utamaduni wa kiutendaji hulehule na kutengemea kuwa mambo yanaweza kubadilika.

Ndio maana kwa wenzetu mabadiliko bila ya kuzishirikisha taasisi zinazosimamia hayo mabadiliko ni kitu ambacho hakipo, sasa kama tunadai tunamakarabasha ya mapendekezo pengine kuishinda dunia (which i think it is a fantasy maana last i checked UK alone had over 500 registered quango's these people are paid to scrutinize and write policies only and they do so every year, kuna wizara policies researchers they do the same, business groups and many other registered and unregistered groups all doing the same thing and this is a small country huko China au US kwenye heavy lobbyist naona watakua namilima sasa ya makarabasha) back to your argument, tatizo hao ma-expert wenyewe wakuweza kutoa upande mmbovu wa sera zilizopo ndio hao wengi wameamua kuuza utu wao, na wakipewa usimamizi unajuwa what will follow.

May be it is about time we opened more channels to capitalism and pay for the experts services in securing better policy deals from the government. Maana kuna hawa jamaa wanao represent interests groups kwenye jamii za wazungu, hawa si lazima kila mtu ajue kila kitu kwenye jamii. Mfano kundi la wakulima litafanya research za wakulima matatizo yao, urahisi wao kuuza bidhaa zao (in short all the business aspects of farming from the soil to the shop or even your dinner table), sasa kama wakiona sijui unaleta mahindi kutoka malawi wakati kuna watu wanalima mahindi yanaoza ujue huo moto wao si mdogo, au labda unakuja na tax za mafuta za kishamba shamba. Wao ujue wataita maandamano, wataandika ma-articles kwenye national circulated papers and all the stress 'you can think off' kwa muusika mkuu wa hiyo wizara hili kujaribu kubadilisha namna ya kufanya vitu kwa advantage ya mkulima.

Kwa maana hiyo licha tu ya kupigia kura sera wakati wa campaign, wazungu wameshajua kuna watu huko kwingine all they care about is their welfare, and they can make unwanted candidates in the wider bussiness world win the election. Therefore methods za pressure groups/lobbyist are becoming very popular in advancing interest groups courses. Kuanzia elimu, social issues such morals, housing, welfare, na nyanja nyingine unazozifikiria etc, etc lakini ujue hadi unafika kwenye well funded groups zinazolinda maslahi ya bussiness world ujue mtu kama Mkullo dunia ya wenzetu angekuwa hana kazi looongi, kwa sera zake kwa mbovu mno.

Watu wengi wanafikiri na kutegemea kuwa mipango ya sasa ya serikali inaweza kufanikiwa iwapo viongozi watakuwa watakatifu na waadilifu. Kuna ukweli ndani yake. Lakini hata mwadilifu akisimamia mipango mibovu, matokeo ya mipango yake itakuwa mibovu.

Kwanza mimi sijawahi kusikia hata siku moja au niseme kusoma hata siku moja sera yeyote ya CCM yenye long term strategy kwa maana hiyo everything they do will be kibovu. Embu mtu ajaribu kuuliza after mkukuta twins, imekuja five years plan which I was a fun i have to admit, hile hilikuwa na targets za namba watu waulizie tu what percentage of that has been accomplished or even just what are the updates on some of the proposed areas. Ndio ujue commitment amna. Kibaya hapa jamii bado hiko ina angaika na watu kama kina sitta na lowassa, wakati kuna uzembe wa hali ya juu kwingine sisi tuna angaika na mafisadi even kuwazungumzia kuwapa uraisi wa nchi yetu yenye matatizo chungu. Pengine Sitta na Lowassa na makundi yao wote lao moja, kututoa kwenye serious descussion na kuanza kuangalia vijibillion walivyozidiana kwenye wizi.

Lakini ukweli wenyewe report nyingine tena imetoka ya CAG kuna mabillion missing. Mbona huyo Sitta na Mwakyembe hawatafuti wezi wengine. Its about time we get things right kwa kweli hawa wanasiasa wa sasa wengi si makini na ni wa sanii tuu.

Mfano mkubwa ni utekelezaji wa sekta ya elimu. Kama ulivyosema hapo juu, serikali ni mwajiri mkubwa na sehemu kubwa ya wafanyakazi wa serikali au wanaotegemea mishahara kutoka serikalini ni waalimu. Pamoja na ukubwa wa sekta hii, matokeo kwa taifa sio mazuri.

Ningefurahi kama tungejadili sekta kama hii na kuweza kuangalia wapi tumekosea na jinsi gani tungeweza kuboresha kwa kutumia uzoefu wetu au kuiga kutoka kwa wenzetu. Vilevile best practices katika sekta moja, zinaweza kutumika katika sekta zingine.

Unajua hakuna sekta ngumu kuijadili kama elimu, tukisema tuangalie welfare za wanafunzi in terms of majengo na madawati, morale za walimu kutokana na mishahara yes we can make an attempt of the debate. Lakini kama ni kutaka kujua quality of education offered hapa inataka serious expertise na watu wenye kuweza kuchambua huwezo wa syllabuses na faida zake baada ya masomo, hila kama huko interest na hayo mambo kwa sana jinsi wazungu wanavyofanya anzia hapa Home - Welcome, Ofsted | Home page
 
Mkandara,

Hivi Marekani, uingereza, ujerumani, Singapore, South Korea, Botswana zina dira gani? Na kukosekana kwa dira kunasababisha tuwe na mipango mibaya?

Dira ni navigation instrument inayotumika kuongoza vyombo vya usafiri kutoka sehemu A kwenda sehemu B. Katika uongozaji wa nchi hakuna sehemu B. It's a journey towards unknown destiny, and therefore you have to select the best alternative routes (good policies).
Nakuomba kaisome Declaration of Independence ya Marekani ambayo haijabadilika na wanaendelea kuilinda wakirekebisha katiba na sheria zao. Kwa Uingereza kasome Magna Carta, Ujarumani - Nationale Sattelzeit na hata hizo nchi nyinginezo zote zilikuwa na vision ya Utaifa wao na hivyo kuchonga dira inayoelekea huko. Sisi hatukuwa na Dira tulipopata Uhuru wetu, zaidi ya kumwondoa Mkoloni na sisi kuchukua nafasi yake hadi mwaka 1967 tulipotangaza Azimio la Arusha ndipo tulipoweka dira yetu kitaifa hata kama yalikuwa vision ya mtu mmoja au wachache, tulifanikiwa au hatukufanikiwa lakini tulikuwa na dira (vision ya point B na hivyo tukajenga safari ya toka hapo tulipokuwa kuelekea kuujenga Ujamaa.

Sijui kama bado unashindwa kunielewa mkuu wangu hivi tunaweza kweli kuonyesha maandishi yoyote (document) yanayofanana na - Declaration of Independence ambayo wewe na mimi tunaweza kwenda kuyasoma na kujitambua who we are kiasi kwamba hata tuzijue rights zetu?.. Kwa nini tunasisitiza sana kuwafundisha wananchi haki zao za Uraia? ni haki zipi hizo kama sii kutoka ktk Katiba ambayo haina malengo isipokuwa kuiga katiba za nchi nyingine bila uhakika kama kweli tunahitaji vyote vilivcyomo au tunasisitizwa tu viwemo.
 
Azimio Jipya:

Haya mambo ya dira yanaondoa real issue ya kujadiliwa na kutafuta visingizio. Ukienda Tanzania kuna matatizo yanayoonekana na yanayotaka solutions. Sidhani kuwa unahitaji kuwa na dira kuyafanyia kazi.

Vilevile sehemu kubwa ya utamaduni wa mataifa mengi haijaandikwa vitabuni. Ukija Marekani na kuwauliza dira, watakuona umetoka Cuba au North Korea.

Tuna maana ya vitu kama Declaration of independence, founding principals of the nations etc ... na hii haiondoi thana ya "result oriented" ila ina reinforce!!

Nakuomba kaisome Declaration of Independence ya Marekani ambayo haijabadilika na wanaendelea kuilinda wakirekebisha katiba na sheria zao. Kwa Uingereza kasome Magna Carta, Ujarumani - Nationale Sattelzeit na hata hizo nchi nyinginezo zote zilikuwa na vision ya Utaifa wao na hivyo kuchonga dira inayoelekea huko. Sisi hatukuwa na Dira tulipopata Uhuru wetu, zaidi ya kumwondoa Mkoloni na sisi kuchukua nafasi yake hadi mwaka 1967 tulipotangaza Azimio la Arusha ndipo tulipoweka dira yetu kitaifa hata kama yalikuwa vision ya mtu mmoja au wachache, tulifanikiwa au hatukufanikiwa lakini tulikuwa na dira (vision ya point B na hivyo tukajenga safari ya toka hapo tulipokuwa kuelekea kuujenga Ujamaa.

Sijui kama bado unashindwa kunielewa mkuu wangu hivi tunaweza kweli kuonyesha maandishi yoyote (document) yanayofanana na - Declaration of Independence ambayo wewe na mimi tunaweza kwenda kuyasoma na kujitambua who we are kiasi kwamba hata tuzijue rights zetu?.. Kwa nini tunasisitiza sana kuwafundisha wananchi haki zao za Uraia? ni haki zipi hizo kama sii kutoka ktk Katiba ambayo haina malengo isipokuwa kuiga katiba za nchi nyingine bila uhakika kama kweli tunahitaji vyote vilivcyomo au tunasisitizwa tu viwemo.
 
Nakuomba kaisome Declaration of Independence ya Marekani ambayo haijabadilika na wanaendelea kuilinda wakirekebisha katiba na sheria zao. Kwa Uingereza kasome Magna Carta, Ujarumani - Nationale Sattelzeit na hata hizo nchi nyinginezo zote zilikuwa na vision ya Utaifa wao na hivyo kuchonga dira inayoelekea huko. Sisi hatukuwa na Dira tulipopata Uhuru wetu, zaidi ya kumwondoa Mkoloni na sisi kuchukua nafasi yake hadi mwaka 1967 tulipotangaza Azimio la Arusha ndipo tulipoweka dira yetu kitaifa hata kama yalikuwa vision ya mtu mmoja au wachache, tulifanikiwa au hatukufanikiwa lakini tulikuwa na dira (vision ya point B na hivyo tukajenga safari ya toka hapo tulipokuwa kuelekea kuujenga Ujamaa.

Sijui kama bado unashindwa kunielewa mkuu wangu hivi tunaweza kweli kuonyesha maandishi yoyote (document) yanayofanana na - Declaration of Independence ambayo wewe na mimi tunaweza kwenda kuyasoma na kujitambua who we are kiasi kwamba hata tuzijue rights zetu?.. Kwa nini tunasisitiza sana kuwafundisha wananchi haki zao za Uraia? ni haki zipi hizo kama sii kutoka ktk Katiba ambayo haina malengo isipokuwa kuiga katiba za nchi nyingine bila uhakika kama kweli tunahitaji vyote vilivcyomo au tunasisitizwa tu viwemo.

Mkandara,

Uki-scroll katika posti zilizotangulia masuala ya katiba tayari yamezungumzwa. Ukienda kwenye ukumbi wa siasa, kwenye ukumbi mdogo wa katiba, kuna thread nilianzisha mara baada ya uchaguzi wa 2010 kusisitiza umuhimu wa mabadiliko ya katiba. Na tulianza mjadala huo wakati bado CHADEMA wanagomea matokeo.

Zaidi ya miaka saba iliyopita katika ukumbi wa BCS times, wewe na Augustino Moshi mkiwa wachangiaji wakubwa, niliwahi kutoa hoja (kwa ktumia jina la Pillar)ya kubadilisha ufumo mzima wa utawala. Nilitoa hoja kuwa pamoja na mafanikio ya uchumi wakati wa Mkapa, system nzima ya utawala ilikuwa flawed.

Nilichopata katika mjadala hule ni kambi mbili. Kambi ya Mkandara yenye kuangalia miiko ya Azimio la Arusha na kuona kuwa viongozi wanafaidika na kuwa matajiri. Na kambi ya Augustino Moshi yenye kutaka kuzidisha kasi ya mabadiliko ya Mkapa.

Ukweli wa mamb mijadala ya dira na azimio la Arusha inachosha. Hili kufupisha mambo tuchukue hypothetical scenario. Katika scenario hii tuseme kuwa nchi tayari inayo DIRA. Nchi inayo katiba. Je ni hatua gani zinachukuliwa katika utekelezaji was sera hili matokeo ya sera hizo yalete maendeleo. Kwa ujumla tunaondoka kwenye mambo ya politicians tunakwenda kwenye mambo ya technocrats.
 
Mkandara,

Uki-scroll katika posti zilizotangulia masuala ya katiba tayari yamezungumzwa. Ukienda kwenye ukumbi wa siasa, kwenye ukumbi mdogo wa katiba, kuna thread nilianzisha mara baada ya uchaguzi wa 2010 kusisitiza umuhimu wa mabadiliko ya katiba. Na tulianza mjadala huo wakati bado CHADEMA wanagomea matokeo.

Zaidi ya miaka saba iliyopita katika ukumbi wa BCS times, wewe na Augustino Moshi mkiwa wachangiaji wakubwa, niliwahi kutoa hoja (kwa ktumia jina la Pillar)ya kubadilisha ufumo mzima wa utawala. Nilitoa hoja kuwa pamoja na mafanikio ya uchumi wakati wa Mkapa, system nzima ya utawala ilikuwa flawed.

Nilichopata katika mjadala hule ni kambi mbili. Kambi ya Mkandara yenye kuangalia miiko ya Azimio la Arusha na kuona kuwa viongozi wanafaidika na kuwa matajiri. Na kambi ya Augustino Moshi yenye kutaka kuzidisha kasi ya mabadiliko ya Mkapa.

Ukweli wa mamb mijadala ya dira na azimio la Arusha inachosha. Hili kufupisha mambo tuchukue hypothetical scenario. Katika scenario hii tuseme kuwa nchi tayari inayo DIRA. Nchi inayo katiba. Je ni hatua gani zinachukuliwa katika utekelezaji was sera hili matokeo ya sera hizo yalete maendeleo. Kwa ujumla tunaondoka kwenye mambo ya politicians tunakwenda kwenye mambo ya technocrats.
Mkuu wangu nakukumbuka sana na ndio maana huoni nabadilisha kauli yangu kuhusu Azimio la Arusha kuwa ndio ilikuwa dira yetu kitaifa, tukaamua kuvunja maadili kwa kuweka Azimio la Zanzibar, haya hapo pekundu naomba uniambie, hivi leo Dira yetu ni ipi na naweza kuipata vipi niisome..
 
Wakuu
Let assume we have the right VISION na tunayo VISION 2025

Attachemnt hii hapa.

Humo kuna mambo na maelezo mengi but as usual yako kwenye makaratasi .Sasa Katika leadership management na operation level(wananchi)
  • Nini Role ya Kila participant(Seriali Viongozi mwananchi, taasisi ) au nani mweye wajibu fulani hafanyi role yake vizuri na alitakuwa kuifanya vipi ?

Sehemu ya tatu kuna target za VISION 2025 ambapo kuna mambo kama
  • High Quality livelihod
  • Good Governace and rule of law
  • Strong and competitive economy

Je haya mambo na mengine mengi tunayapimaje kujua hatua na tunapima kuliganisha agaist or with what ? Mfano tukisema strong competive economy ilii tuondoe umasikini inabidi tuexport zaidi bidhaafulani nje?Au tujitaidi kuzalisha bidhaa zetu wenyewe au Turuhusu Soko huria regedless bidhaazinatoka wapi hata kama itau kiwanda/Ajira za nyumbani. Je wote tunakukubaliana tafsiri wa IFM na WB juu ya competetive economy ?

Je What is the prority sector ya economy yetuTanzania .Nina wasi wasi Inawezekana nguvu zetu zinapelekwa kwenye shemu ambazo sio key na kama ni key sector basi sera nyingi zinaishia kwenye makaratasi.

Mfano halisi ni ni ATCL/ TRL. Nguvu kubwa inapotezwa kufufua shirika mfu la ATCL wakati halina na haliwezi kuwa na mchango wowote mkubwa katika umasikini wa Mtanzania.Tunaona miradi ya viwanja vya ndegevya kimataifa kila bajeti .......

Good Governance kuna mfano mdogo tu abahatujenda mbali wa VX za VONGOZI . Kila wiki VX hizi zina wekewa zaidi lita 150 za fuel. So Mawaziri.Makatibu wakuu ma RC wetu wangeweza kukata mpaka 30%-40% ya gharama ya mafuta(Administration cost )nakuzipeleka kwenye miradi
 

Attachments

  • TzDevVision2025.pdf
    3 MB · Views: 6
Mkuu wangu nakukumbuka sana na ndio maana huoni nabadilisha kauli yangu kuhusu Azimio la Arusha kuwa ndio ilikuwa dira yetu kitaifa, tukaamua kuvunja maadili kwa kuweka Azimio la Zanzibar, haya hapo pekundu naomba uniambie, hivi leo Dira yetu ni ipi na naweza kuipata vipi niisome..

Mkandara,

Mtazamaji ame-post vision ya Tanzania iliypitishwa Mkapa akiwa Rais. Kulikuwa na mkutano mkubwa 1987. Mkutano wa CCM Kizota. Nao ulikuwa na vision zake kuhusu Tanzania.

Tatizo hapa sio dira, vision, au maazimio. Tatizo ni mgonjwa kukataa kunywa dawa.
 
Back
Top Bottom