Poulsen ataja kikosi cha kuivaa Msumbiji.......Ni majina yale yale.....Je Tufafika kweli?

Hapo ndipo tutakapomkumbuka Marcio Maximo. Akirudi leo hata kutalii tu watu watamshangilia ajabu (ni mtazamo wangu tu).
 
.
.li kuondoa kidomodomo cha wabongo,ni bora tumpe timu dauda akisaidiana na balantanda.

hahahahhaa...kuna kipindi watu walitaka Dr Riki apewe taifa stars..sasa naona mdau na wewe unataka jamaa apewe timu..
 
kama mna wasiwasi na uteuzi wake ina maana hafai.kwa maximo mlianza hivihivi

Mkuu huyu kocha alianza kunipa hofu....pale aliitiwa timu yake ya kwanza na akina KAyuni kucheza mechi ya kirafiki na Harambee stars..matokeo 1-1...Pia cjui anafundisha style ipi....tuombe mungu tumfunge msumbiji
 
Vyovyote........

Umekurupuka ama?.....Zambia hawakuileta timu ya vijana kwenye challenge mwaka jana,walioleta timu ya vijana ni Zimbabwe(soma vizuri post yangu),kocha wa Zimbabwe Norman Mapeza alisema kwamba ameileta timu hii ili ipate uzoefu wa kushiriki mashindano ya Afrika.......Concern yangu ni kwamba tuanze kuwapeleka vijana wakashiriki mashindano haya ili waanze kuapata uzoefu wa mashindano makubwa...Hao wazee wameshafail katika kila mashindano waliyoshiriki sasa ya nini kuendelea kuwakumbatia?....

Tanzania tunao wachezaji wengi tu na wazuri ambao wako Ngorongoro Heroes,Manyara Stars na Serengeti Boys na Karume Boys.....Pia Copa Coca Cola huwa inao wachezaji wazuri tu...Hizo timu za vijana zina wachezaji ambao ni wazuri zaidi ya hao wazee akina Kaseja,Nsajigwa,Nditi,Nizar na wengine.......Kama uliangalia mechi ya Simba na Azam FC utakubaliana na mimi kwamba bwana madogo Shomary Kapombe wa Simba na Salum Abubakary 'Sure Boy' wa Azam ndio walikuwa nyota wa mchezo kutokana na jinsi walivyolitawala dimba la kati(kiungo).....Pia Ramadhani Singano(wenyewe Simba wanamwita Messi) aliwanyanyasa vilivyo beki ya Azam....

Balatanda
You have a point, hebu soma hapa chini uone mafanikio ya Zambia yameanzia wapi?
The success of Zambia at this year's Cup of Nations will be remembered for these emotional factors that inspired the side to greatness, yet this must not obscure the root cause of this famous triumph. Bwalya laid the foundations himself as vice-president of the country's Football Association back in 2005, having witnessed yet another failure to qualify for the World Cup.
Not content, Bwalya implemented a long-term vision, pooling players from Under-20 and Under-23 level who would form a core of a side for the next four years. Both 2006 and 2008 saw first-round elimination from the Cup of Nations, but Bwalya did not panic and ensured that they stuck to the original four-year plan for success.

Now the FA president, Bwalya's philosophy saw Zambia get to the knockout-rounds in 2010, before earning the ultimate accolade in 2012, with a philosophy based on familiarity, togetherness and pride. Coach Hervé Renard must also take great credit, despite only having re-joined the Zambian set-up last year. The team worked together over friendly encounters on the tactical systems and approaches that could guide them to success, with the Frenchman overseeing a team that has shown remarkable discipline and tactical versatility throughout the tournament, a shining light to African football.
 
Balatanda
You have a point, hebu soma hapa chini uone mafanikio ya Zambia yameanzia wapi?
The success of Zambia at this year's Cup of Nations will be remembered for these emotional factors that inspired the side to greatness, yet this must not obscure the root cause of this famous triumph. Bwalya laid the foundations himself as vice-president of the country's Football Association back in 2005, having witnessed yet another failure to qualify for the World Cup.
Not content, Bwalya implemented a long-term vision, pooling players from Under-20 and Under-23 level who would form a core of a side for the next four years. Both 2006 and 2008 saw first-round elimination from the Cup of Nations, but Bwalya did not panic and ensured that they stuck to the original four-year plan for success.

Now the FA president, Bwalya's philosophy saw Zambia get to the knockout-rounds in 2010, before earning the ultimate accolade in 2012, with a philosophy based on familiarity, togetherness and pride. Coach Hervé Renard must also take great credit, despite only having re-joined the Zambian set-up last year. The team worked together over friendly encounters on the tactical systems and approaches that could guide them to success, with the Frenchman overseeing a team that has shown remarkable discipline and tactical versatility throughout the tournament, a shining light to African football.
kwa maelezo haya sioni tatizo la paulsen kuchagua kikosi alichochagua.swala la kujenga timu ni kazi ya tenga,TFF wanatakiwa kuwekeza kwa watoto kitu ambacho wanakifanya.leo hii tuko kwenye mashindano unategemea poulsen aanze kukuza vipaji?tuache nadharia na badala yake tutoe ushauri unaotekelezeka.
 
Ngorongoro Heroes iliyoshika nafasi ya 3 kule cosafa Botswana iko wapi? Naamini ukiwaweka wale vijana, watakuwa tayari kufia uwanjani.
 
kwa maelezo haya sioni tatizo la paulsen kuchagua kikosi alichochagua.swala la kujenga timu ni kazi ya tenga,TFF wanatakiwa kuwekeza kwa watoto kitu ambacho wanakifanya.leo hii tuko kwenye mashindano unategemea poulsen aanze kukuza vipaji?tuache nadharia na badala yake tutoe ushauri unaotekelezeka.

Soma vizuri kwenye nyekundu, timu yetu haiendi popote , ni bora tuwape nafasi hii Ngorongoro ili wapate uzoefu, na baada ya miaka minne tutaona matunda. TFC wanatakiwa wamwambie sisi tunawekeza hapa, hawa hatutaki kuwaona unawaita, Finish
 
No, AFCON 2013! Ngorongoro walialikwa cosafa u 23 mwaka jana wakashika nafasi ya tatu.
ndio maana kuna mashindano tofauti tofauti,tuache under 23 kwa wahusika na afcon iachiwe vijeba.hata kina nizar walianzia chini lakini leo hii mnawaona si lolote.tatizo la wabongo
Ni ujuaji mwingi ndio maana kila kocha hafai.
 
Soma vizuri kwenye nyekundu, timu yetu haiendi popote , ni bora tuwape nafasi hii Ngorongoro ili wapate uzoefu, na baada ya miaka minne tutaona matunda. TFC wanatakiwa wamwambie sisi tunawekeza hapa, hawa hatutaki kuwaona unawaita, Finish
kukuZa vipaji sio suala la kukurupuka kama mnvyotaka lifanyike.
 
kutoendelea kuwa na maximo ilikuwa kosa kubwa sana bcoz alikuwa zaidi ya kocha,kuhamasisha,kutilia mkazo nidhamu,kuvumbua vipaji tofauti na Paulsen.mfano mzuri ni kocha wa zambia aliemfukuza mulenga kwa utovu wa nidhamu ni matokeo yake tumeyaona
 
Nizar, Boco leo wazee, hata 23 hawaja vuka. Rejea profile zao katika vilabu wanavyochezea.
Cto shangaa baada ya miaka 2 Ulimwengu, Samata nao kuitwa mababu, miaka 2 ijayo Singano, Aisi Salum, Happygod Semvua (dogo wa Moro utd na mfungaji bora wa ngongoro kule Cosafa) nao kuitwa mababu kwa kuwa wamewahi kutambulishwa kwenye soka la boy
 
Mwadini chipukizi kwa kuwa tumechelewa kumuona (rejea profile yake).
Utawapaje chipukizi nafasi wakati kwenye vilabu hawapati nafasi, na ligi yao huchezwa kwa wiki 3, unategemea utatengeneza timu ya Taifa imara hapo.
Cheki zambia chipukizi wake wanatoka kwenye vilabu gani na nafasi wanapata ama la.
Uwezi kumzuia Poulsein ama kocha yoyote ule kumuita Nditi wakati wa kukava majukumu yake bado hajamuona.
 
Ngassa,Tegete,Jabu,Maftaha,Makasi walikuwa wanaonekana wataiokoa Tanzania lakini sasa hivi wote wamefulia
 
Back
Top Bottom