Suala la posho kufutwa lilikuwa hoja ya CDM, lakini lengo ilikuwa posho kufutwa kwa wabunge wote, siyo kwa mtu moja moja. Zitto kutopokea posho peke yake bado haijalipunguzia taifa mzigo mkubwa wa kuwakomboa maskini wa nchi hii. Hata hivyo tunaambiwa Zitto anaingiziwa mabilioni kwenye akaunti zake kupitia moja ya mabenki huko majuu, hivyo suala la posho kwake ni kama vijisenti tu.
Ningemkubali Zitto angelishawishi bunge kusitisha posho, siyo yeye kususia posho.
Kwa hili akili ya Zitto imemtosha mwenyewe
Wabunge wa chadema porojo nyingi lakini posho wanachukua.
Kama Mbowe alivyojifaya kukandia gari la serikali lakini analitumia!
Hiyo vita ipo wapi hapo?
Gazeti la mwananchi, gazeti pendwa la Zitto
We msome ID yake na pumba zake, kuna kila sababu ya kuamini kuwa mimba yake ilitungwa MSALANI tena stendi.
Hii ndiyo akili za wabunge wa chadema maneno mengi mantiki hakuna mtu kama lema yule si mzima anaweza kuongea kitu ambacho hata hakijui ili mradi tu asikike.
We mdada wacha ukabila na udini. Kwanza hayo ni mambo ya kizamani. Tanzania ya leo anaejua pesa ni mkinga sio mchaga.Isije kuwa ni Mbowe. Maana ni mchaga yule.
Suala la posho kufutwa lilikuwa hoja ya CDM, lakini lengo ilikuwa posho kufutwa kwa wabunge wote, siyo kwa mtu moja moja. Zitto kutopokea posho peke yake bado haijalipunguzia taifa mzigo mkubwa wa kuwakomboa maskini wa nchi hii. Hata hivyo tunaambiwa Zitto anaingiziwa mabilioni kwenye akaunti zake kupitia moja ya mabenki huko majuu, hivyo suala la posho kwake ni kama vijisenti tu.
Ningemkubali Zitto angelishawishi bunge kusitisha posho, siyo yeye kususia posho.
Kwa hili akili ya Zitto imemtosha mwenyewe
Mungu anawadhihirisha wanafiki kila siku na bado itaendelea. GODBLESS lema alianza kusema tumemuachia kisu zito ajichinje mwenyewe akimaanisha kutomshirikisha katika matukio ya chama bado anaona mwanaume anapeta tu kwakuwa zito ni mpango wa Mungu huku kaja kajionyesha sura yake iliyojaa makovu ya chuki, fitna na husda kwa zito. Na bado mtajuta haters. Wakumstopisha ni Mungu sio nyie makhanatha mnaoshinda kuchambia magunzi kwa njaa.
Daah nikweli tena ilitungwa kwenye mkesha wa mwenge.
Hawa Jamaa wa CHADEMA ni wanafiki sana, Mbowe alivyokuwa anaapa kwa miungu yote kuwa hataki gari la serikali, leo hii ametulia zake ndani ya V8, kama vile hakuwahi kulikana.
ww huku jf ni kutafutata nani wa dini gani na kabila gani...kuna kitu nje ya siasa huwa kinawaunganisha nyie.....
na wanajua kuzitafuta .... hii ni pamoja na kusoma kwa bidii na kuhimiza maendeleo miongoni mwao! ..... si unaona kilimanjaro ilivyobarikiwa kuwa na shule nyingi? .... kama sio upendeleo unaoendelea hasa awamu hii ya JK ungekuta hata ikulu wanaomzunguka JK wasaidizi wake wote ni wachagga (kwa academic and experience qualifications)
Kuna wanaopenda pesa Tanzania hii zaidi ya wachaga? Ni nani asiyelijuwa hilo?
Umesahau sifa moja, Mbona hiyo huitaji?
Kwahiyo wewe black widal ni M k w e r e au mmakonde mwenye uhalisia wa kuwa kiongozi TZ??
Au MUISLAMU?? Mchaga ni najisi, kafiri,eeeh!!!