kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Watanzania tunahusudu ushirikina,tujaribu kujikumbusha matukio ya kishirikina yaliyowahi kutokea nchini:
POPOBAWA;Kuna kipindi ilisemakana kuna jini lilikuwa linawafanyia mchezo mbaya watu(linakula tigo)
VIPARA;Wakati fulani watu wenye vipara waliuawa ikiaminika vichwa vyao vinaleta utajiri
NGOZI;Mkoa wa mbea uliwahi kuwa na matendo ya uchunaji ngozi ambazo zilihusishwa na utajiri.
VIKONGWE;Maeneo ya shinyanga wanawake wazee wenye macho mekundu walituhumiwa kuwa wachawi hivyo walitafutwa na kupigwa mpaka mauti.
ALBINO:Ni mwaka jana tu tatizo la Mauaji ya walemavu wa ngozi Albino walikuwa wanawindwa kama swala ikiaminika viungo vyao vinaleta utajiri.
BABU WA LOLIONDO/TIBA YA VIKOMBE;muasisi wa tiba ya magonjwa sugu kwa kutumia kikombe kimoja tu cha dawa.kwa sasa wanaibuka waganga mbalimbali wanaotoa tiba ya namna hii.
Je nchi yetu ni ya wachawi au believers?
POPOBAWA;Kuna kipindi ilisemakana kuna jini lilikuwa linawafanyia mchezo mbaya watu(linakula tigo)
VIPARA;Wakati fulani watu wenye vipara waliuawa ikiaminika vichwa vyao vinaleta utajiri
NGOZI;Mkoa wa mbea uliwahi kuwa na matendo ya uchunaji ngozi ambazo zilihusishwa na utajiri.
VIKONGWE;Maeneo ya shinyanga wanawake wazee wenye macho mekundu walituhumiwa kuwa wachawi hivyo walitafutwa na kupigwa mpaka mauti.
ALBINO:Ni mwaka jana tu tatizo la Mauaji ya walemavu wa ngozi Albino walikuwa wanawindwa kama swala ikiaminika viungo vyao vinaleta utajiri.
BABU WA LOLIONDO/TIBA YA VIKOMBE;muasisi wa tiba ya magonjwa sugu kwa kutumia kikombe kimoja tu cha dawa.kwa sasa wanaibuka waganga mbalimbali wanaotoa tiba ya namna hii.
Je nchi yetu ni ya wachawi au believers?